Jamiiforum nawaomba msamaha kwa swali hili, Hivi mnapataje pesa ?

Jamiiforum nawaomba msamaha kwa swali hili, Hivi mnapataje pesa ?

Jf ni non governmental organizations (NGO)

Wanapata mapesa mengi kutoka Kwa wafadhil wa nje ya nchi
 
sijui kwa jamii forum.ila nachojuua kwa makampun mengine ni kwamba wewe wanauza info zako kwa companies.ujashangaa ghafla unaletewa advert ya kitu ulikua unakiwaza.uka search bas jamaa wanauza data ndio mana tikotok ikawa banned usa sabab yues wanajua info zinauzwa
Kama hiyo ni sababu basi hata facebook wangepigwa ban
 
Salaam

Moja kwa moja kwenye mada, Mods na max naombeni mnilinde. Inawezekana watu wengi hawajui labda tuanze kuwekana wazi ili vijana wengine wabunifu wajifunze na waache kukopy idea za watu.

Hivi ni kweli haya matangazo matangazo ya makampuni ya simu mnayoyaweka kama sponsored ads ndio yanalipa wafanyakazi wote ?

Najua hamuwezi kunipa/kutupa algorithm yenu yote lakini at least wachache wanao jua basi watanifungua na mimi.

Nawasilisha.
Halafu ukishajua, itakusaidia nini?
 
Hawa sio wanategemea hela za wafadhili? Trip za mabalozi huwa hazikati pale mara Sweden mara Marekani...

Watakua wanakula fund as NGO
 
Back
Top Bottom