Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 16,908
- 19,123
Him? who? or rather whom? even Shakespeare never knew the proper usage of who and whom?
guess who? Jk? Senior or junior?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Him? who? or rather whom? even Shakespeare never knew the proper usage of who and whom?
hehehe hiyo ngoma ya kiranga nimeiiingiza gooogle translate masaa mawili yalopita na bado page inaniambia searching. Mzembe anaweza akamtongoza waifu wako mbele yako wee ukabaki unacheka tu ukazani anahadisia mechi ya Asanali. Kulaleki!
The way Kiranga has desquemated (as a literary juggernaut), the garrulous and oftimes bucolic Mwita25, has left even the saprostromous and megacephalic Faiza Foxy decumbent and vacuous.
Mwita25 bana, unatulaza damu. Bado uko maktaba mpaka saa'ii?
Mwita25 is caught between a rock and hard place.
hey if you are the champ then dont panic,just step in the ring to fight so to win your competitor.Wewe uliyeanzisha thread kwa kutumia jina langu ni mpuuzi, mjinga na punguwani. Una mawazo mgando yaliyochanganyika na chembechembe za uwendawazimu. Ni kinara wa wodi ya vichaa ya hospitali ya Mirembe na hustahili kukabidhiwa kutunza hata kijiko kwasababu utakitafuna.
Nataka nianzishe thread ya debate ya "kiswahili sanifu" kati yako na Kiranga...Mada chaguwa wewe.Muuza Sura,
Toka lini "Mwita" akawa na aibu? Hata kwenye lugha zao, hao kina "Mwita" hakuna neno aibu.
Kiranga said:Nitaanza kwa kumuhoji mtoa mada kwa nini anafikiri mdahalo kwa kupitia lugha isiyo mantiki wala uwiano wa kihesabu katika sheria za nomino kama Kiingereza unafaa zaidi kuliko katika lugha yenye kueleweka na wengi, iliyo na urahisi wa kueleweka na mantiki lukuki kama Kiswahili?
Zaidi ya hayo, unachotaka kufanya ni nini? Kama unataka kufanya watu wacheze kama wanasesere ili wengine wacheke mie sio kazi yangu na wala ngoma hizo siwezi.
Kama kuna kingine cha ziada tuambizane.
huko alipo atakuwa anamlaani sana aliyeanzisha huu uzi!kama namuona vile alivyokosa raha!nimegundua akikiuka maadili tu humu JF huyu mwita asipigwe ban bali aitiwe kiranga basi hapo atajipa ban yeye mwenyewe!Muuza Sura,
Toka lini "Mwita" akawa na aibu? Hata kwenye lugha zao, hao kina "Mwita" hakuna neno aibu.
Huyu jamaa hongea yake ni kama Mkapa,wanatumia nguvu nyingi sana
which rock?
Talc? Pumice? Granite?
Si kila rock ni gumu mengine tunayamung'nyua kwa ulimi
Muuza Sura,
Toka lini "Mwita" akawa na aibu? Hata kwenye lugha zao, hao kina "Mwita" hakuna neno aibu.
...between scylla and charibdis in the straight of messina in sicily! Its greek mythology on Oddysseus story.
Permit me to gladly grab my sootless sticks out of the hazily hued humidor and evade eerie effable ephemeral enchantments with enviable equanimity while embarking from this putrid pungent pugilists pantomime, to a somber soliloquy of solitary sanity.