Nahisi ni aina Fulani ya Msosi, naufananisha na Kiburu au Macharari Teh teh tehUnaweza kuwa na potpourri, ukaichanganya kui-hodgepodge, ukapata "hodgepodge of a potpourri" hakuna tautology wala repetition hapo.
Kama unaona Chief kamsifia sijui utasema JMushi1 alifanyaje. lol
ha ha......nimekumisije......
Merry Xmas.....
Asha Dii nime pm invisble ma mod watoe jina mwita 25 waweke AshaDiii wenye Tiitle ya thread hahahha kwa jina lako kwa siku may be don king naweza kupata kurasa nyingine kama 20 lol
Vinginevyo na wewe enjoy Holiday yako mamiii.
Hivi Kiswahili cha "overestimate" ni kipi? lol
kadirio la juu.....nimejaribu lakini....
Merry Xmas dear.....
Shemeji!!!!...............kadirio la juu.....nimejaribu lakini....
Merry Xmas dear.....
Shemeji!!!!...............
Za siku...
Asha Dii je ni sawa syntactaically na semantically nikiseme Happy x mas and merry new year
Hahaaaaaaaaaa.......Nipo bana....shemeji....kama usingetokea leo ingekuwa mbaya.....
nilikuwa na mpango wa kuiaga JF kama singekuona mwisho wa mwaka huu....
bahati umetokea.....
Feliz Navidad shemeji
Asha Dii je ni sawa syntactaically na semantically nikiseme Happy x mas and merry new year
Happy x-mass and merry new year
Kwanza naomba niirekebishe kwa kusema iwe "Happy x-mas and a Merry new year"
Hio itakua - Syntactically correct ila Semantically wrong..... Au wee waonaje Mtazamaji?
Happy x-mass and merry new year
Kwanza naomba niirekebishe kwa kusema iwe "Happy x-mas and a Merry new year"
Hio itakua - Syntactically correct ila Semantically wrong..... Au wee waonaje Mtazamaji?
Syntax Sijui ndio sarufi maumbo na semantic labda ndio sarufi maana. au we sema tu sintaksi na semantiki Ngoja waje wataalam. ila wakinikosoa sana na wewe wakosoe.Preta said:tafsiri mwenyeeeeewe........
There is nothing wrong whatsoever with "Happy Christmas and a Merry New Year"
In British English, "Happy Christmas" is a standard Christmas greeting. Merry can be equated to happy ( they are both adjectives) so instead of saying "Happy New Year" one can say "Merry New Year".
It may sound strange because it is not used conventionally. Like saying "Happy Morning" instead of "Good Morning".
Ashadii napenda ulivyo so democratic ila mimi hapo kwa umombo sijui naunga unga tu cha kupunguzia viizingiti huku mtaani.
But nadhani tukifuata protocol tukubaliane na wataalam tu Merry x mas na Happy new yia ndio sahihi na si kinyume chake
.
Leo nimeamini maneno yako yale ya jana aisee....lol.... Alafu Mtazamaji uache kutega wenzio.... Nawe eleza hapa bana. Take note ninavoeleza hapa ni nielewavo.... Hivo ni nafasi nzuri ya kukosolewa nikichemka hivo kuongeza knowledge na kui-sharpen brain na mind.