JamiiForums Exclusive: Kiranga and Fellow members English Debate

Duhu, hapa hata Wole Soyinka hasogelei. Mwita25 aisee tokea basi ujibu mapigo!
 

hahahaaha Mwita anazidi kupotezewa.....
 
Mweee
Please my fellow member of the floor help me if this town speaker kiranga is saying bad words some tell me. Or if is insulting villagers then asubiri Spaeker wa life in village naye aseme

Hii mechi ilitakiwa Kiranga acheze na jamaa mmoja unamkumbuka kwenye thread moja huko nyuma watu walikuwa wanalalamika Kiranga kutumia Kingereza kigumu. I forgot his/her ID though alikuwa na avatar ya mwanajeshi wa Southern Sudan.
 

Dah! hapo kwenye red umenikumbusha practical za chemistry "PUNGENT & CHOKING SMELL"
 
Katika hali amabyo hata dikshanari na google transalatr zinashidwa kukupa mwanga wa ujumbe wa kimombo

google translator ya post No 112
Niruhusu furaha kunyakua yangu vijiti sootless nje ya humidor hazily hued na evade eerie effable uganga ephemeral na equanimity enviable wakati kujiingiza kutoka pantomime hii putrid pungent pugilists, kwa soliloquy somber ya sanity faragha.

Dah! hapo kwenye red umenikumbusha practical za chemistry "PUNGENT & CHOKING SMELL"

Mimi pale kwenye blue nilidhani kakosea alitakiwa kuandika empirical formula lol lol
 
Japo mi tanzanian american lakin maneno mengi ya kiranga sijayapata poa,du! Inafaa nisomee language niache hii ya mitaani
 
​bhita ni bhita muraa......unakura kichuriii mbona unahasira mura
 
Mweee
Please my fellow member of the floor help me if this town speaker kiranga is saying bad words some tell me. Or if is insulting villagers then asubiri Spaeker wa life in village naye aseme
Baada ya kutafuta sana ni kwamba anaomba mmruhusu kutuacha na ka furaha ketu hapa bassement tulipo, anaenda kukaa peke yake aweze kuendelea na mazoezi ya kiakili zaidi.
 
Hii mechi ilitakiwa Kiranga acheze na jamaa mmoja unamkumbuka kwenye thread moja huko nyuma watu walikuwa wanalalamika Kiranga kutumia Kingereza kigumu. I forgot his/her ID though alikuwa na avatar ya mwanajeshi wa Southern Sudan.

chamoto. nadhani
 
Baada ya kutafuta sana ni kwamba anaomba mmruhusu kutuacha na ka furaha ketu hapa bassement tulipo, anaenda kukaa peke yake aweze kuendelea na mazoezi ya kiakili zaidi.

KWeli kabisa
 

Afu pale mzimbazi senta wamesema nitajua kiinglish kwa wiki nne tu., au kuna viinglishi aina nyingi...!!
 
Game over... Hapa naona anatuaga.
tupe matokeo Mwali
mimi nimendoka na evade eerie effable ephemeral enchantments ila bado natafuta intonation yake na maana yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…