JamiiForums game of the year

Rejao akihama CCM atakuwa mtu safi sana ila kwa sasa atakuwa hana raha kisa sababu za CCM

CCM imepoteza uelekeo Na haina thamani tena, bora Rejao aachane Na Magamba.
 
tatu bomba hizi ni mpya lakini sio nzuri sana ziikiisha mafuta utazichukia

Utazichukia wewe uliyejawa na chuki maana kama nakuona hapo ulivyochukia baada ya kugundua kuwa mimi ndio nitakuwa mshindi wa game hii.
 
Utazichukia wewe uliyejawa na chuki maana kama nakuona hapo ulivyochukia baada ya kugundua kuwa mimi ndio nitakuwa mshindi wa game hii.

Hii game wala hata co ya kuisha leo,nimeipotezea cku kadhaa nikijua nijarudi nakuta mshindi kumbe ndio kwanza km ndio imeanza!
 
sana tu!...the don atakua yeye bana...anatuyeyusha huyu!

Huyu jamaa enzi zile alikuwa juu sana...unakumbuka au ulikuwa bado chekechea? Enzi za Gk..prof j na wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…