JamiiForums game of the year

Game halinogi bila haya makitu....
sijui nini kwani we unataka tunyamaze km tuko kwenye maombolezo??

Maombolezo?? Duh! Umejuaje mkuu Erickb52? Kwa maana ni kweli tupo kwenye maombolezo baada Jah Kaya kutufanya mbaya na uteuzi mbovu wa mawaziri.
 
Last edited by a moderator:
Maombolezo?? Duh! Umejuaje mkuu Erickb52? Kwa maana ni kweli tupo kwenye maombolezo baada Jah Kaya kutufanya mbaya na uteuzi mbovu wa mawaziri.

Mawaziri wapya watendaji wa zamani....duh Nzi hii nchi ishaliwa tayari....kajamaa ni kilaza sana yan nimeamini kapachikwa kifuu cha nazi kichwani lol aibu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…