JamiiForums game of the year

Lol wameharibu mchezo.

mchezo uishie hapa naona mmechoka tukutane msimu ujao... nashukuru washiriki wote pia mjue katika game kuna kushinda,kushindwa na kutoa droo so tufanye hapa ni droo .... shukrani za dhati kwako ww ulieshiriki. kama mamndenyi,bagah, huyu ndo mharibifu wa mchezo katavi,na. wote kwa majina yenu pia charminglady,badili tabia,kongosho na .....
 

na ney kush
 
Last edited by a moderator:
ney kush mchezo huu bado unaendelea, hakuna cha droo hadi mshindi apatikane.
 
Last edited by a moderator:
seya uko wapi...seyaa seyaaa...
seya tutoke wote!hata mvua ikinyesha oooohh seya...
 
Letu moja la kunyakuwa ushindi mwisho wa mwaka.

Mwaka huu Bungeni kumechangamka jama!!
Yani natamani wazichape nyama kwa nyama,
Tuwajue watoto wa Mama wepi na wagumu wa Kitaa wepi.
 
Mwaka huu Bungeni kumechangamka jama!!
Yani natamani wazichape nyama kwa nyama,
Tuwajue watoto wa Mama wepi na wagumu wa Kitaa wepi.

Wepi wanakubalika Na Wananchi Na wepi wamechokwa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…