JamiiForums game of the year

wamechokwa kiukweli lakini kwa kuwa wao ni waasisi wa chama cha machangu, basi hawana idea kuwa wahawatakiwi na watanzania.
Watanzani wa vijijini ni mizigo tu hawana hata akili za kutambua mema na mabaya....
Tunahitaji hamasa za kutosha kuwaamsha watu!
 
Watanzani wa vijijini ni mizigo tu hawana hata akili za kutambua mema na mabaya....
Tunahitaji hamasa za kutosha kuwaamsha watu!

Watu gani? Watanzania? Naona watanzania kama siyo watu vile! Watu gani wawe na vichwa ngumu vya kuvumilia shida na tabu zinazosababishwa na serikali ya CCM?!
 
Watu gani? Watanzania? Naona watanzania kama siyo watu vile! Watu gani wawe na vichwa ngumu vya kuvumilia shida na tabu zinazosababishwa na serikali ya CCM?!

CCM inapumulia machine. Kifo chake rasmi ni 2015.
 
serikali ya jk nayo ni pasua kichwa ngoja tuone huo mgomo

Mgomo ukianza tena watu watakufa mahospitalin n heri magamba waangalie hii kitu isijetokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…