JamiiForums ina mambo

hiyo namba tatu ni uhalisia kabisa yani , yani humu kuna tunabishana mpaka na wakulu huko juu, watu wenye nyazifa zao ,unaweza ukaona mtu katokwa povu baada ya kumsema mtu fulani au kuanzisha uzi wa kumsema mtu flani utaona mtu anatoka mishipa ya shingoo na povu juu, ujue huyo ana element za kuwa mkulu flani, anyway

* jf leads other follow
 
Hiyo namba mbili ni kwa wale wakomavu kiakili tu.
 
Nimecheka saanaa, maana 99% ni ukweli mtupu, umesahau kitu kimoja tu post ikianzishwa na member wa juzi (miezi 3 nyuma) wakati huo huo platinum member naye akaanzisha post hiyo hiyo mods wapo radhi waufute ule wa kwanza wa kisa tu "ukongwe " wa muhusika
 
Nyazifa au nyadhifa
 
namba 6 umepatia sana, kwenye lile jukwaa wamejaa waongo, wazushi, waovu, wasio na misimamo, wenye ndoto za alinacha, walalamishi na watu wasio na soni kwenye viganja vyao.... kwa kifupi ni kwamba kunapendwa mno na watanzania walio wengi... kwa kuwa asimilia kubwa ya watz ni mad people...
 
JF naifananisha na deep web, wengi hatujuani tunawasiliana na nani kupitia JF,
na asiyekua ndani ya JF hawezi kujua undani na utamu wa JF.
JF the best!!!!
 
Mkuu you made my day, nimecheka saaana kwa post yako
 
hahahaahaaa kuwa IGP tu mkuu,kama unavotamaniiiii.
 
Watumiaji wa JF hakuna mtu wasiyemjua, Wewe muulizie mtu yeyote humu, utaambiwa hadi rangi ya chupi anayovaa
ndo unakuta mtu anakufahamu zaidi ya unavyojifahamu
JF hatari.....
...
Kuna kipindi nilikuwa nje.. Nikawa natafuta namba ya headmaster wangu wa Galanosi.
Alikuwa ameshahama shule kitambo.
Nikaweka thread hapa..
Nilipata namba yake zaidi ya watu kumi tofauti na nikapewa details za kuhusu yeye kuliko hata nilivyokuwa sitarajii..
JF usiichezee hata mkeo yuko hapa akikuta uzi unaokuhusu anatapikaaa
 
JF naifananisha na deep web, wengi hatujuani tunawasiliana na nani kupitia JF,
na asiyekua ndani ya JF hawezi kujua undani na utamu wa JF.
JF the best!!!!
Wengi sana hawajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…