JamiiForums ina mambo

JamiiForums ina mambo

hiyo namba tatu ni uhalisia kabisa yani , yani humu kuna tunabishana mpaka na wakulu huko juu, watu wenye nyazifa zao ,unaweza ukaona mtu katokwa povu baada ya kumsema mtu fulani au kuanzisha uzi wa kumsema mtu flani utaona mtu anatoka mishipa ya shingoo na povu juu, ujue huyo ana element za kuwa mkulu flani, anyway

* jf leads other follow
 
Kwa miaka kadhaa ambayo nimekuwa member wa JF nimeweza kuexperience mambo yafuatayo;-

1. Anacho komenti mtu wa kwanza kwenye post maranyingi huwa ndio msimamo wa wengine wanaofatia kukomenti ( yaani wengi ni wafata upepo). Wakwanza kukomenti akikuponda na wengine watakuponda, wakisifia na wengine watasifia.

2. Unaweza ukatukanana na mtu kwenye thread hii then mda huohuo ukamgongea like kwenye thread nyingine na kummwagia sifa kibao.

3. Kwavile tunatumia Fake ID's, si ajabu ukajikuta unabishana na bosi wako na kumvimbia kwamba unahela sana na unauwezo hata wa kuajiri ukoo wao mzima, pia unaweza ukamuita babaako 'dogo' au 'boya' bila kujua.

4. Ukienda kwenye jukwaa la Vyombo vya usafiri unaweza fikiri kila mwana JF anamiliki gari, tena gari kali. Maana ukiulizia VITZ unaambiwa uwe mvumilivu uendelee kujikusanya ununue 'GARI', na uachane na vi'baby-walker'.

5. Ukienda MMU Wanaume wote wanajifanya 'MANDINGO', hakuna anayekubali kwamba yeye kibamia, na akianza kupiga gemu goli 1 ni kuanzia dakika 30, hakuna anayemaliza kwa dakika 5. Hilo ni kwa upande wa wanaume, kwa wanawake wao kila mmoja ni 'MNATO', hakuna Mtera kule.

6. Ukienda kule jukwaa mama 'SIASANI' yaani ndio vurugu tupu, kila mtu anajiona jiniazi na ndio maana ni jukwaa linaloongoza kwa povu. Utasikia "hizo hoja zako za kitotototo peleka kwa watoto wenzio facebook".

7. Watumiaji wa JF wanadhani kila mtu yuko Dar. Hata wanapoweka matangazo yao unaona kabisa akilini mwao wanajua kila mtu anaishi Dar.

8......
9......
10......

Mengine ongeza wewe...
Hiyo namba mbili ni kwa wale wakomavu kiakili tu.
 
Nimecheka saanaa, maana 99% ni ukweli mtupu, umesahau kitu kimoja tu post ikianzishwa na member wa juzi (miezi 3 nyuma) wakati huo huo platinum member naye akaanzisha post hiyo hiyo mods wapo radhi waufute ule wa kwanza wa kisa tu "ukongwe " wa muhusika
 
hiyo namba tatu ni uhalisia kabisa yani , yani humu kuna tunabishana mpaka na wakulu huko juu, watu wenye nyazifa zao ,unaweza ukaona mtu katokwa povu baada ya kumsema mtu fulani au kuanzisha uzi wa kumsema mtu flani utaona mtu anatoka mishipa ya shingoo na povu juu, ujue huyo ana element za kuwa mkulu flani, anyway

* jf leads other follow
Nyazifa au nyadhifa
 
namba 6 umepatia sana, kwenye lile jukwaa wamejaa waongo, wazushi, waovu, wasio na misimamo, wenye ndoto za alinacha, walalamishi na watu wasio na soni kwenye viganja vyao.... kwa kifupi ni kwamba kunapendwa mno na watanzania walio wengi... kwa kuwa asimilia kubwa ya watz ni mad people...
 
JF naifananisha na deep web, wengi hatujuani tunawasiliana na nani kupitia JF,
na asiyekua ndani ya JF hawezi kujua undani na utamu wa JF.
JF the best!!!!
 
Kwa miaka kadhaa ambayo nimekuwa member wa JF nimeweza kuexperience mambo yafuatayo;-

1. Anacho komenti mtu wa kwanza kwenye post maranyingi huwa ndio msimamo wa wengine wanaofatia kukomenti ( yaani wengi ni wafata upepo). Wakwanza kukomenti akikuponda na wengine watakuponda, wakisifia na wengine watasifia.

2. Unaweza ukatukanana na mtu kwenye thread hii then mda huohuo ukamgongea like kwenye thread nyingine na kummwagia sifa kibao.

3. Kwavile tunatumia Fake ID's, si ajabu ukajikuta unabishana na bosi wako na kumvimbia kwamba unahela sana na unauwezo hata wa kuajiri ukoo wao mzima, pia unaweza ukamuita babaako 'dogo' au 'boya' bila kujua.

4. Ukienda kwenye jukwaa la Vyombo vya usafiri unaweza fikiri kila mwana JF anamiliki gari, tena gari kali. Maana ukiulizia VITZ unaambiwa uwe mvumilivu uendelee kujikusanya ununue 'GARI', na uachane na vi'baby-walker'.

5. Ukienda MMU Wanaume wote wanajifanya 'MANDINGO', hakuna anayekubali kwamba yeye kibamia, na akianza kupiga gemu goli 1 ni kuanzia dakika 30, hakuna anayemaliza kwa dakika 5. Hilo ni kwa upande wa wanaume, kwa wanawake wao kila mmoja ni 'MNATO', hakuna Mtera kule.

6. Ukienda kule jukwaa mama 'SIASANI' yaani ndio vurugu tupu, kila mtu anajiona jiniazi na ndio maana ni jukwaa linaloongoza kwa povu. Utasikia "hizo hoja zako za kitotototo peleka kwa watoto wenzio facebook".

7. Watumiaji wa JF wanadhani kila mtu yuko Dar. Hata wanapoweka matangazo yao unaona kabisa akilini mwao wanajua kila mtu anaishi Dar.

8......
9......
10......

Mengine ongeza wewe...
Mkuu you made my day, nimecheka saaana kwa post yako
 
Kwa miaka kadhaa ambayo nimekuwa member wa JF nimeweza kuexperience mambo yafuatayo;-

1. Anacho komenti mtu wa kwanza kwenye post maranyingi huwa ndio msimamo wa wengine wanaofatia kukomenti ( yaani wengi ni wafata upepo). Wakwanza kukomenti akikuponda na wengine watakuponda, wakisifia na wengine watasifia.

2. Unaweza ukatukanana na mtu kwenye thread hii then mda huohuo ukamgongea like kwenye thread nyingine na kummwagia sifa kibao.

3. Kwavile tunatumia Fake ID's, si ajabu ukajikuta unabishana na bosi wako na kumvimbia kwamba unahela sana na unauwezo hata wa kuajiri ukoo wao mzima, pia unaweza ukamuita babaako 'dogo' au 'boya' bila kujua.

4. Ukienda kwenye jukwaa la Vyombo vya usafiri unaweza fikiri kila mwana JF anamiliki gari, tena gari kali. Maana ukiulizia VITZ unaambiwa uwe mvumilivu uendelee kujikusanya ununue 'GARI', na uachane na vi'baby-walker'.

5. Ukienda MMU Wanaume wote wanajifanya 'MANDINGO', hakuna anayekubali kwamba yeye kibamia, na akianza kupiga gemu goli 1 ni kuanzia dakika 30, hakuna anayemaliza kwa dakika 5. Hilo ni kwa upande wa wanaume, kwa wanawake wao kila mmoja ni 'MNATO', hakuna Mtera kule.

6. Ukienda kule jukwaa mama 'SIASANI' yaani ndio vurugu tupu, kila mtu anajiona jiniazi na ndio maana ni jukwaa linaloongoza kwa povu. Utasikia "hizo hoja zako za kitotototo peleka kwa watoto wenzio facebook".

7. Watumiaji wa JF wanadhani kila mtu yuko Dar. Hata wanapoweka matangazo yao unaona kabisa akilini mwao wanajua kila mtu anaishi Dar.

8......
9......
10......

Mengine ongeza wewe...
hahahaahaaa kuwa IGP tu mkuu,kama unavotamaniiiii.
 
Watumiaji wa JF hakuna mtu wasiyemjua, Wewe muulizie mtu yeyote humu, utaambiwa hadi rangi ya chupi anayovaa
ndo unakuta mtu anakufahamu zaidi ya unavyojifahamu
JF hatari.....
...
Kuna kipindi nilikuwa nje.. Nikawa natafuta namba ya headmaster wangu wa Galanosi.
Alikuwa ameshahama shule kitambo.
Nikaweka thread hapa..
Nilipata namba yake zaidi ya watu kumi tofauti na nikapewa details za kuhusu yeye kuliko hata nilivyokuwa sitarajii..
JF usiichezee hata mkeo yuko hapa akikuta uzi unaokuhusu anatapikaaa
 
Back
Top Bottom