taken but we can shareSingle but taken
Unaweza kuishi bila mpenzi lakini ukapata mapenzi...si eti?Kweliii ngumu sana kuishi bila mupenziii
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]weeeee wagumu hawakubali kujishaua wanaishi na ndugu zaoo mxeeewDawa ya mwanume anayetangaza kuwa ni single ni moja tu basi, mwambie umtembelee kwake na hakuna kugegedana, upaone na ujiridhishe hapo utapata uhakika maana hata majirani ukiwadadisi watasema
Njoo kwangu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]weeeee wagumu hawakubali kujishaua wanaishi na ndugu zaoo mxeeew
ukijaribu akikataa basi ujue hana nia njema, hata kama anaishi na ndugu yake si unakuja tu kumsalimia ujionee mazingira akikataa achana naye[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]weeeee wagumu hawakubali kujishaua wanaishi na ndugu zaoo mxeeew
Oooh yea [emoji1][emoji1]taken but we can share
Watu wanabanjuana humu nini kutongozanaHv kuna watu wanatongozana humu? ? Me najua ni changamsha genge tuu