JamiiForums kila mtu yupo single

JamiiForums kila mtu yupo single

Habari za weekend
Jaman hebu tupunguze uongo kila mtu anasema yupo single Hana mpenzi.

Wengine mnaishi na wake na waume zenu lakin kutwa kujisifia na kulalamika nimeachwa na mpenzi wangu.

Alafu tabia ya wanaume mliooa kuwa na wivu wakati wa kutongoza mnaitoa wapi eehh hampendi Wadada tuwe na wapenzi kwanini lakin mnakuwa hivyo alafu cha ajabu hata nikikubalia hutanioa muache hiyo tabia.

Wengine kila week anatafuta mchumba love connect mnabana nafasi inaonesha una gundu kuanzia mtaani mpaka huku Jamiiforum mjirekebishe .

Na nyie mnaokataliwa pm kuleta hasira kwenye comment jiandaeni Kwa block tu hamna namna.

Jamanii hakuna mtu anaweza kuwa single La sivyo ni mwanachama wa CHAPUTA.
Ni kwel Mimi Niko singo, namaanisha sina mke... Ila kwakua watoto wazuri mko wengi, kuanzia wa form three hadi wastaafu sina budi kuchapa.
 
Anaringa na chura yake!
Mkuuu no matter wat aiseee ,,lazima awe naroho ya huruma nayenye upendo .

Roho yauchungu juu ya utu wamtu ,roho yamwanamke ambao huwa nayo pindi labor akisukuma kwanguvu kiumbe kitoke.

Miss natafuta ,,popote ulipo ,, rafiki yangu kipenzi Behaviourist nimuda mrefu sasa tafadhali mtazame kwa macho miwili na umkabizi moyo wako.
 
Halafu watu tukisema tumeolewa kuna mijitu inakuja kukanusha as if yanatujuaaaa.
 
Mkuuu no matter wat aiseee ,,lazima awe naroho ya huruma nayenye upendo .

Roho yauchungu juu ya utu wamtu ,roho yamwanamke ambao huwa nayo pindi labor akisukuma kwanguvu kiumbe kitoke.

Miss natafuta ,,popote ulipo ,, rafiki yangu kipenzi Behaviourist nimuda mrefu sasa tafadhali mtazame kwa macho miwili na umkabizi moyo wako.
Anadharau hii avatar yangu,anaona mimi sistahili wala sina sifa ya kuipiga piga makofi hiyo chura yake!!
 
Anadharau hii avatar yangu,anaona mimi sistahili wala sina sifa ya kuipiga piga makofi hiyo chura yake!!
Duuhhh Anakosea sana,kukujaji kwa avatar tu ambayo sio kitu .....
Inamaana mkuuu mchana ulivyonambia kuhusu huyu mwanamke , kumbe nikweli ???? Daaahhhhh Miss natafuta ,acha kumdharau MTU kwa Picha tu mkuuu.
 
Back
Top Bottom