JamiiForums kila mtu yupo single

Mimi siko single ila nafasi bado zipo tuuh..!
 
Sorry miss natafuta naomba uni PM kwan nitakiwa na kitu cha kukuuliza
 
Nina mke na vijana wangu wawili nawapenda sana wao ni sababu ya mimi kua napambana pamoja na maudhi yote ya bepari wangu sina sababu ya kuwakana wale walio bora zaidi kwenye maisha yangu.
 
Muda mwingine nyinyi wenyewe mnajichanganya sana tena hapahapa, sisi men malanyingi tunapenda mwonekano na maneno matam basiiii.. mala hooo mimi najua kupika, mala hoo mme wangu hatojutia kuwa namimi n.k..kwa maneno yenu hayo lazma mme wamtu hakudanganye tu!!!
 
Wanaume mna tabu vitu vidogo hivyo vinawachanganya khaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…