Jamiiforums kuna matajiri tupu


Kumbe hata mie mambo safi .ilikuwa najidharau basi tu.
 
Nimepanga likizo niende vacation NEW YORK ...naomba kampani yako MankaM...
 
Last edited by a moderator:
Na mimi nnae umwa mafua, niko huku Uingereza Potland hospital, nawasalim tu....
 
Reactions: kui

shehe bora wewe unabaiskeli wengine tuna piga tembe katembe mwanzo mwisho mara moja moja daladala hutusevu kusiko fikika.
 
Na mimi nnae umwa mafua, niko huku Uingereza Potland hospital, nawasalim tu....

pole sana ungekuwa huku kijijini kwetu ningekuchumia majani fulani unuse mafua kwisha kabisa ila kwasababu nawew ni tajiri ndio bas tena looo
 
Jina lako fake kila kitu lazima kiwe fake,......usijitaabishe sana yote haya yanafanya kijiwe chetu kiwe kizuri sana,bila haya kijiwe kingekuwa bored.
Well said, tutaabishwe na erikali, ada za watoto hakuna, kodi za nyumba juu, barabara foleni tupu, maji hakuna, yaliyopo ni ya chumvi, kigodoro kimepigwa marufuku, bia bei juu, ajira hakuna, katiba mbaya, Wapenzi wetu nao siku hizzi kila mtu yuko kimkakati zaid!! Ngoja tufurahie maisha ya JF aiseee, huwezi jua kuna watu saa hizi wanapost huku wanalia (wanajifariji tu).....kitanda Muhimbili buku tano, kulala tu na Dokta ajakuona bado, na sio ajabu akija akufanyie oparesheni ya kichwa badala ya mguu. Tapu tupu
 
Twende ukasafishe nyota...bibie.....ushawahi kunywa chai Hollywood....???
 
Niko zangu Ny nataka mchepuo wa bongo nimtumie nani ticket?
 
Ngoja ni parki benzi langu hapa kisha niwajibu .ooh nimesahau funguo za nyumba yangu pale ofisini TRA duuu

Aisee..nipo kwako huku juu nakusubiri...au niswim kidogo wakati nasubiri urudi😉
 
pole sana ungekuwa huku kijijini kwetu ningekuchumia majani fulani unuse mafua kwisha kabisa ila kwasababu nawew ni tajiri ndio bas tena looo

Hebu sema uko kijiji gani nitume chopper langu sasa hivi. Mafua yamenibana hapa na ninahitajika Zurich to sign a multi million euro business deal. My private doctor has advised me not to travel in this state.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…