Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Huenda kuna ukweli japo jf kuna na uongo mwingi kwani hata ID nazo ni fake.
Ila nakubali kwamba mpaka uingie mtandaoni simu yenye uwezo wa kudown-load inahusika au kompyuta,chaji ya simu nikimaanisha umeme na muda wa kukaa kuchangia hoja si mara nyingi utamkuta maskini anajihusisha na mitandao.
Kwako unayepanga,mi naona una uwezo kwani hicho chumba si unalipia? kwa maneno mengine wewe ni mfalme kwa anayekupangisha,maana unamwingizia hela.Hivyo jione na wewe ni tajiri na endelea kuitumia JF.
mm ni mpandaji mzuri sana wa madaladala huwa nawafuma baadhi ktk usafiri huo tena wakiwa busy ktk kupost issue ni watu wa kawaida mno kwa niliowabahatisha!
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
Na mimi nnae umwa mafua, niko huku Uingereza Potland hospital, nawasalim tu....
Fanya hima tuende....tutapitia Dubai kununua nguo....
Well said, tutaabishwe na erikali, ada za watoto hakuna, kodi za nyumba juu, barabara foleni tupu, maji hakuna, yaliyopo ni ya chumvi, kigodoro kimepigwa marufuku, bia bei juu, ajira hakuna, katiba mbaya, Wapenzi wetu nao siku hizzi kila mtu yuko kimkakati zaid!! Ngoja tufurahie maisha ya JF aiseee, huwezi jua kuna watu saa hizi wanapost huku wanalia (wanajifariji tu).....kitanda Muhimbili buku tano, kulala tu na Dokta ajakuona bado, na sio ajabu akija akufanyie oparesheni ya kichwa badala ya mguu. Tapu tupuJina lako fake kila kitu lazima kiwe fake,......usijitaabishe sana yote haya yanafanya kijiwe chetu kiwe kizuri sana,bila haya kijiwe kingekuwa bored.
Ngoja ni parki benzi langu hapa kisha niwajibu .ooh nimesahau funguo za nyumba yangu pale ofisini TRA duuu
Ki ukweli mm binafsi niko vizuri
thatha nithemeje?Ongea kama mwanaume ww 'thijakuelewa' ndo kitu gani
Mkuu post imechekesha mpaka imenibidi nipaki hammer langu mlimani city ili nipate juice nipoze koo....
pole sana ungekuwa huku kijijini kwetu ningekuchumia majani fulani unuse mafua kwisha kabisa ila kwasababu nawew ni tajiri ndio bas tena looo