Super Sub Steve
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 17,404
- 10,900
Huenda kuna ukweli japo jf kuna na uongo mwingi kwani hata ID nazo ni fake.
Ila nakubali kwamba mpaka uingie mtandaoni simu yenye uwezo wa kudown-load inahusika au kompyuta,chaji ya simu nikimaanisha umeme na muda wa kukaa kuchangia hoja si mara nyingi utamkuta maskini anajihusisha na mitandao.
Kwako unayepanga,mi naona una uwezo kwani hicho chumba si unalipia? kwa maneno mengine wewe ni mfalme kwa anayekupangisha,maana unamwingizia hela.Hivyo jione na wewe ni tajiri na endelea kuitumia JF.
Kumbe hata mie mambo safi .ilikuwa najidharau basi tu.