Jamiiforums kuna matajiri tupu


Umeona eeeh!!! Wacha tufurahie maisha tupunguze stress
 
Leo nipo Kishiri shambani nakusubiri .....

Nikitoka hapa nakwenda Mhandu nyumbani ....!!

Aaaah...shambani unafanya nini huko??ulitakiwa uwe Ryan's bay unapata lunch mida hii
 
Hihihi...umaarufuuuu..watu tunapata tuzo humu Dina..utuwacheeeπŸ™„πŸ™„

Hhhhhhhhaaaaaaa,na ambao sio maarufu tumejiunga majuzi mtupe tuzo ya kutokua maarufu
 
Umenikumbusha kitu pale Ryan's bay looo kuna tujitu ukila tunawashaaajeeee

Tunini uto nikatushangaeee,si unajua ushamba mzigoo....malaika pia kuna menu ilinishindaa...uwiiii mengine yatupite tu
 
wenyewe matawi ya juu fake hawajatimba ................................wakitimba huulizi
 
Hhhhhhhhaaaaaaa,na ambao sio maarufu tumejiunga majuzi mtupe tuzo ya kutokua maarufu

Hahahaha..hulipwi humu shoga angu...labda kama unataka kujitolea kuwa maarufu bila malipo nikuelekeze wanapotoa awards..unaweza shinda ujue
 
Hahahaha..hulipwi humu shoga angu...labda kama unataka kujitolea kuwa maarufu bila malipo nikuelekeze wanapotoa awards..unaweza shinda ujue

Siwez shinda aiseeeee bora niwaachie nyie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…