jembe afrika
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,603
- 3,776
- Thread starter
- #21
Huku kwenye mitandao mtu akijua kulog in tayari ni tajiri.
yaaan ni shidaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku kwenye mitandao mtu akijua kulog in tayari ni tajiri.
kwa hiyo nisisepe mkuu,maana nishaingiza upepo.....Huenda kuna ukweli japo jf kuna na uongo mwingi kwani hata ID nazo ni fake.
Ila nakubali kwamba mpaka uingie mtandaoni simu yenye uwezo wa kudown-load inahusika au kompyuta,chaji ya simu nikimaanisha umeme na muda wa kukaa kuchangia hoja si mara nyingi utamkuta maskini anajihusisha na mitandao.
Kwako unayepanga,mi naona una uwezo kwani hicho chumba si unalipia? kwa maneno mengine wewe ni mfalme kwa anayekupangisha,maana unamwingizia hela.Hivyo jione na wewe ni tajiri na endelea kuitumia JF.
Umesema kweli hapa nilipo nipo uturuki nageuza bongo kuna deal la milioni mia tano namalizia.nikifika bongo tukutane kwangu masaki kwenye ile range yangu nyeusi.
aiseee kuna nafasi na mimi nije nipaki baiskeli yangu?Mkuu post imechekesha mpaka imenibidi nipaki hammer langu mlimani city ili nipate juice nipoze koo....
Amesemaje..? Utaniambia baadae kwa skype sasa hiv nipo na-drive
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
wewe ndo tunaweza tukajadili maana wengine wanama vogue...hummer...Hahahah bora hata wewe una bike, mie hata guta sina lol
kumbe tuko wengiKumbe hata wewe ni tajiri! mie sina baiskeli na naishi kwa bibi, lakini humu JF hanitoi mtu, mods wenyewe wamejaribu kunitoa humu but in vain!
mama fethi buku thijakuelewa,,,
Mkuu post imechekesha mpaka imenibidi nipaki hammer langu mlimani city ili nipate juice nipoze koo....
aiseee kuna nafasi na mimi nije nipaki baiskeli yangu?
wewe ndo tunaweza tukajadili maana wengine wanama vogue...hummer...
......... , je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe.... .