Mkuu post imechekesha mpaka imenibidi nipaki hammer langu mlimani city ili nipate juice nipoze koo....
Hahaaaaaaa!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu post imechekesha mpaka imenibidi nipaki hammer langu mlimani city ili nipate juice nipoze koo....
mimi....
Kumbe best...vidudu umevisomea....!!
Ukifika level ya midudu nitafute nikupe dili.....
Baby unafiki waachie watoto..weye haukupendezi
Itakua ni Marekan ndogo atiii
Kwakweli huwa nacheka sana maana thread za huku ndani inaonekana kila mtu mambo safi, anadrive, ananyumba, ofisi safi, anaenda nje mara kwa mara, je sisi tuliopanga na tuna baiskeli tu
Tuendelee kulogging in au tusepe, maana ukitafakari ni zaidi ya uswiss na marekani.
hahaha ukajibuje sasa au na safari ikaishia hapo
Waongo tu, humu wengi matapeli na wanaharakati tu ndio maana kutwa kucha wanapost tu.
Halafu shoga angu ujue nime misplace laki tano yangu ya breakfast...kama vipi nipitie na ile range yako unipeleke stanbic nikatoe hata kamilioni kanisogeze....
Range yangu imeharibika,nakupitia na Helkopta hapo
Poa poa...itakuwa kheri...
Halaf Trey song kaja kwangu anakutafuta akupe hi ndio arud Us
Njoo nikupe utajiri we binti..mbona Una kila sababu ya kuwa bakhresa..hujui tu..teeeh!!mbona wa kwetu pakavu pia tupo na tumejikubali tuu?
tutafanyaje sasa
Njoo nikupe utajiri we binti..mbona Una kila sababu ya kuwa bakhresa..hujui tu..teeeh!!
Weekend hii uje nikupeleke Ryans bay unaniabisha mkuu!
Nilimjibu hivi Napanda daladala,gari sina.Nilienda nikaonana naye ye alikuwa na gari,alimake assumptions kila mtu ana gari.Ila alikuwa na kilio kimoja ambacho mie ninacho lakini ye hana na kukipata ye ni ngumu.
Hee jamani.....nimemmisije sasa, mwambie ntakuja kumpikia ugali wa muhogooo kabla hajaondoka....