Jambo rafiki...thank u for recognition.... one love!
Kumbe raia mpo ila mmepiga kimya tu...ASANTE KWA KUNIPA HESHIMA KUBWA NAMNA HII. BE BLESSED
sijambo Watu8, mzima ww?Jambo rafiki...
Beee hiyo niliambiwa nibadili na mods,,maana mi sio gea,sasa sijui gea ni yeye Tanzania tu nzimaGeahabibu
Kuna wengine hawakuwa humu lakini wafatiliaji wakubwa wa JF hawa sijui mnawaitaje ?
Namimi ngoja nibadiri hii maana Gentries ananisaka kinyama..Beee hiyo niliambiwa nibadili na mods,,maana mi sio gea,sasa sijui gea ni yeye Tanzania tu nzima
Hongera zako = before and after😛Mim wa 2014 ni legend kweli?
Asante,tuombe uzima tuwepoHongera zako = before and after😛
WashawashaKuna mmoja simkumbuki jina alikuwa akishacoment Ana andika na log out au nalog off