JamiiForums Legends of ALL Time

kwa kweli!mimi pia!
Mwanza wazima?
among the people mlikuwa vere serious mkiongea habari za mahusiano na ndoa!
UJUZI NA MAARIFA YATAKUWA YAMEONGEZEKA SANA NOW!
bravo buddy!
Thanks a lot
Nashukuru sana tulifanya kazi kubwa kwa wakati huo na nafikiri bado huo muda upo wa kushauriana na wadogo zetu kwenye haya masuala na kuona namna bora ya kujenga huu msingi unaoitwa familia
Tunayaona mengi sana ila kwa kuwa bado tupo hai tutazidi kushauri na kupeana maarifa.
 
Nakubananisha ili hao niliowataja wabaki na Asprin wewe uje kwangu si unaonaga huwa wanavyomjali...πŸ˜›πŸ™‚
Pia ili
Asprin
Achague kwako au kwa wale niliowataja...ingawa jamaa huwa hakosi jina la kukupa utasikia sijui shemeji mara mke wa zamani,sijui mchepuko.....yaani mi nataka jamaa apambane na hali yake tuuu apate sehemu moja sio kila sehemu...hahahaa
Cc:
Sky eclat
mwandani wa Asprini.
 
bado unaringamo!
AH MWANAUME ULIKUWA NA MARINGO WEYEEE!
njooo basi hata nikuhug!
Leo nitaona maana baada ya kupotea nimepata hamu na wewe vibaya sanaaa...

Hebu sogea haraka maana naweza zimia kwa kukusubiria...
 
Leo nitaona maana baada ya kupotea nimepata hamu na wewe vibaya sanaaa...

Hebu sogea haraka maana naweza zimia kwa kukusubiria...
hihihi mweee nihug kwa nyuma aseeee !
bulging from behind!
ala!
 
ndio ujue kwake mi namba zote nakaa!
Asprin baba klaree kuna mtu ananiuliza eti mi ni shemejiiiii au mchepukooo au kishika uchumbaaaaa au mke wenuuuu au naaani!
MUELESE BABA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…