JamiiForums Legends of ALL Time

Baga (Bagah) mkuu popote ulipo heshima kwako
 
Nimemis sana uwepo wa Kiranga, nilikua nakaa na dictionary kung'amua baadhi ya misamiati yake, halafu naenda kuwapiga nao vijana wangu kwenye debate. Siku nilipoona post yake anajitoa jf niliumia sana.
 
kuna mmoja alikua alikua anapenda story za papuchi i real love this guy mnaomtambua please nikumbusheni.
 
Nakuona ulivyopiga goti la unyenyekevu kwa kukumbukwa LOL! Unajua jinsi ulivyotuchangamsha kule kwenye nyuzi za Arsenal. Liverpool, MANU na Chelsea.

Nakumbuka kuna wakati wewe na yule mkoromije wa Chelsea mliniendesha sana nikikumbuka natabasamu.

Zile nyuzi zimepooza sana rudi uje kuzichangamsha mwambie na yule mkoromije wa Chelsea naye arudi.

Ijumaa hii kuna mchapo wa nguvu Arsenal na Liverpool na Jumamosi kuna El Classico ya mchepuko wako na BARCA. Najua utakuwa busy na maandalizi ya Noeli ila ukiweza kupita huko itakuwa bomba sana.

Daah!!! Nanyenyekea kukumbukwa na wewe,nimekuhamu zaidi..
 
Nimemis sana uwepo wa Kiranga, nilikua nakaa na dictionary kung'amua baadhi ya misamiati yake, halafu naenda kuwapiga nao vijana wangu kwenye debate. Siku nilipoona post yake anajitoa jf niliumia sana.
Mbona bado yupo! Na kila siku yuko active Jf
 
Ila babu umri umesogea, ungeacha bhange kwanza. Shauri yako.
Nani huyo anaulizia nywele saluni...?

Mwambie wewe kwangu ni kila kitu. Leo mke, kesho shemeji, keshokutwa mkwe, jana mchepuko, juzi mama. Mwaka kesho sijui nikuiteje...??

Kwanza nani huyo anayekuuliza na mamlaka hayo kampa nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…