JamiiForums Legends of ALL Time

Wewe mwenyewe umepotea....Arsenal wamebaki vijana wapya tu wakongwe wote mmekimbia. Imagine Wacha rubaman inapita miezi hawajachangia chochote kuhusu Arsenal.
Tupo katika mikakati ya kutafuta pesa nyiiiingi kupambana na Manchester City wanaonunua mabeki kwa bei ya mastriker
 
Namshukuru Mola hayo mawing sikujiunga nayo


Ndio maana ninaburudika nitakavyo humu JF..
Wengi walisukumana kujuana wapo kimya hata waliokaribisha wadau wa humu kwenye misiba n.k. waliishia au wanaishia kuwa kimya humu na wengi lazima wanafungua ID mpya ili watanue vizuri

Naamini ina madhara sana..
 

@Sansharie......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…