JamiiForums Legends of ALL Time

JamiiForums Legends of ALL Time

Kuna hii mtu ilisumbua sana kipindi fulani humu JF.......ningekuwa admin ningemrudisha..... Malaria Sugu
Hahaaaa...Huyu Malaria Sugu alikuwa ni shida...

Mimi hakuna watu nimesumbuana nao kama Mzee wa Sauti ya Umeme...FMES na Kuhani/Dilunga...

Mpaka inafika hapa JF imepitiwa na vichwa vingi sana..Kumekuwepo na kila aina ya watu...Mabrazameni..Wachungaji/Baba Parokozz...Wajomba..Wajuvi....nk
 
Hahaaaa...Huyu Malaria Sugu alikuwa ni shida...

Mimi hakuna watu nimesumbuana nao kama Mzee wa Sauti ya Umeme...FMES na Kuhani/Dilunga...

Mpaka inafika hapa JF imepitiwa na vichwa vingi sana..Kumekuwepo na kila aina ya watu...Mabrazameni..Wachungaji/Baba Parokozz...Wajomba..Wajuvi....nk
Dah....ile JF ya zamani ilikuwa safi sana....!!!
 
Dah kweli Ma Legendary wa kitambo

Wadada
Lizzy
Preta
AshaDii
Kongosho
Mwali
Beauty
Mrembo
Russian Roulette
Faiza Foxy
Afrodenzi

Wanaume
Kloroquin
Aspirin
Bujibuji
BAK
Finest
Mzee Mwanakijiji
Mushi

Na wengineo, mmenikumbusha ile JF ya enzi hizo ukisoma thread au post ya Kongosho lazima ucheke

Witnessj
 
Hahaaaa...Huyu Malaria Sugu alikuwa ni shida...

Mimi hakuna watu nimesumbuana nao kama Mzee wa Sauti ya Umeme...FMES na Kuhani/Dilunga...

Mpaka inafika hapa JF imepitiwa na vichwa vingi sana..Kumekuwepo na kila aina ya watu...Mabrazameni..Wachungaji/Baba Parokozz...Wajomba..Wajuvi....nk

Kabisa!

Ila kuna baadhi ya hao ma legend waliotajwa ni wa juzi juzi tu hapa [at least IDs zao ndo zinavyoonyesha].

Mtu ID inaonyesha kajiunga 2013, 14, na 15 lakini tayari eti keshakuwa legend!

Anyway, ni chit-chat tu. Lakini kweli kabisa orodha ya legends na veterans wa TEF baadaye JamboForums na sasa JamiiForums ikiandikwa, orodha hiyo haitokuwa kamili endapo baadhi ya watu hawatakuwemo.

Mfano, Yournameismine atakosekanaje? Mkandara atakosekanaje? Tafiti Then Jadili anakosekana vipi? KadaMpinzani anakosekanaje? Shwari hawezi kosekana. Hata Jasusi pia.

Inaugural class ya 2006 ikikosekana karibu yote basi hiyo orodha itakuwa na mapungufu mengi sana.
 
Ila alikuwa mbishi sana...Hasa akikutana na NN au Bluray

Hata sasa yupo....fuatilia mwandiko wa ajiitaye Bu’yaka au Tindikali hahahaaaa

Ila siku hizi sijui hadi aweke bando la kutosha ndo aingie JF atafute dosari ktk ulichokiandika halafu huyo anapotea tena.

Na ikitokea umemjibu mwenzio atachukua mwezi mzima kuja kukujibu ilhali wewe ushasahau!
 
Back
Top Bottom