Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahaMkuu mengine lazima tuongee kwa mapana kwenye faragha
Hehehe..ngoja na mimi nitakuja faragha niombe ya kwakoHahahaha
Mkuu hayo ya faragha hayo yanaishia kwenye kupeana no za simu
Salama lakini mkuu
Haki sijui wamepotelea wapi. Haya magroup ya WhatsApp yamepunguza kasi ya malegends wa JFBabu yao Asprin, heshima nyingi kwako. Ati, wapi swahiba wako @fidel8, na mjukuu wako mtiifu MwanajamiiOne?
Wamekumbukwa huku.
Sijasema mimi ni mkongwe. Naupenda ujana.wewe si mkongwe
HAHAHAHAHAHHA dah!Nitafutie gfsonwin aisee...
Ukimuona Cantalisia mwambie namsalimia sana...
Na yule mdada mtata Gaijin ...
SAFIIII KWA KWELI HAPA NDO NYUMBANI!Hahhah,.....niende wapi na JF ndio nyumbani?, namshukuru Mungu kwa pumzi na uhai.
mimi pia dear!Duu... Snwowhite za miaka tele?
Kitambo tumepotezana. Nipo sana.
Nimebaki kuchungulia tu JF na kuondoka.
Mambo ni vipi lakini Mtani?
Ni furaha kukuona upo bado hapa.
bado unaringamo!Hivi snow ni barafu eeeh?
Hahahaaaa....
Aisee...
ahahahhahahhahaha ila nilikuwa mtunduuu!mtani jiraniiii mzima wewe...mekukumbuka sana mtani wangu hasa vituko vyako hahah
PUMBAAAZU ZAKO!Haki sijui wamepotelea wapi. Haya magroup ya WhatsApp yamepunguza kasi ya malegends wa JF
Yalikuwa mwake sana aisemi mzimaaaaaaaa!
ahahahaha mekumiss pia bana na maflirt yetu yale!
ila siiisi!chaaaa!
Hahahah unapenda ubuyu kama mngoni...PUMBAAAZU ZAKO!
hujawahi niweka kundi lolote la wasp!
nakununia mpk JANUARY!
kwa kweli!mimi pia!Yalikuwa mwake sana aise
Mzima lakini dear
Tunashukuru kukuona tena humu