Jamiiforums member's party

Unajulikana mkuuu isiwe hujulikani ukatupeleka kusikojulikana hahaaaa bit all in all you are already not into the diary so wanakamati wakikupm usianze kugeuka simbaaaaa
Mbona hiyo sentence ya mwanzo imejaa hofu na kutokuaminiana...
 
Sasa nani atakukula siku hiyo! Mimi mahondaw akija na Smart911 wake namuwekea nganda katika kinywaji chake azime niondoke na kimwana. Aidha siku hiyo Mama Sabrina nakufungia chumbani kwako
 
Usitegemee kitu kama hicho mleta maada, nivigumu sana na siyo rahisi kama unavyofikilia.
 
Tukiwa kwa party hakuna kujua ID zetu, ila mimi ntataka kumjua Jje,s, na Shunie tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…