Jamiiforums member's party

Shika adabu yako ikushike na mshikamane wewe na adabu yako [emoji118] [emoji118] [emoji118] [emoji118] [emoji118]
Yes Smart911 love am here just for you.. Anything you need my king...
Mahondaw umemsikia narumuk huku??
Shoo Ndumilakuwili huyu anang'ata na kupuliza. Wee muone kama mtu tu ni chui anaejifanya kondoo tatizo nikwamba mimi huwa sisahau kirahisi that's the problem.. Ni mwana kamati mmoja mzuri sana tena Ile kamati kuu....asione tu namjibu jibu akadhani nimesahau.
 
Utasheherekea part na wana jf kweli au na wazee wa kijani na suti nyeusi...... Haaaaaaa[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 

Kweli kabisa mahondaw wangu...

Wasione tunawajibu wakadhani tumesahau...

Anyways lakini... ni muhimu to forgive and forget, penye watu hapakosi maneno...
 
Aisee hii ni ngumu yaani siku hiyo vituo vyote vya polisi zitajaa. Tutakamatwa wote dadeki. Lakini hivi wewe hujatumwa kweli?
 
Hv kuna watu wanajua ID yako humu na mnachangia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…