Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Shika adabu yako ikushike na mshikamane wewe na adabu yako [emoji118] [emoji118] [emoji118] [emoji118] [emoji118]Tatizo la mahondaw huwa ananipenda sana ila sina pesa ndo maana anajibanza kwa Smart911 . Nami najiweka kwa Mama Sabrina ingawa pesa ya matumizi tunaipata kwa G wake (huwezi kuwa na wivu bila ngawira) sasa mwana CDM atanifaziri niongozane na kipenzi siku hiyo! Upo hapo la Azizi love b ?
Yes Smart911 love am here just for you.. Anything you need my king...
Shoo Ndumilakuwili huyu anang'ata na kupuliza. Wee muone kama mtu tu ni chui anaejifanya kondoo tatizo nikwamba mimi huwa sisahau kirahisi that's the problem.. Ni mwana kamati mmoja mzuri sana tena Ile kamati kuu....asione tu namjibu jibu akadhani nimesahau.Mahondaw umemsikia narumuk huku??