Jamiiforums member's party

Jamiiforums member's party

Walivyokuwa wakitoka kwenye party wanaanza kusemana huyu alikuja ananuka kwapa,huyu vile huyu viatu vimeishaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara ka fulan kabaya kwelii
ni wazo zuri mpenzi lakin watu huwa wanakuja kuchunguzana tu wengine sie maskini kweli mtatuzodoa na minguo yetu iliyofubaa
Na tunavyochamba humu jf heeeeee
 
Walivyokuwa wakitoka kwenye party wanaanza kusemana huyu alikuja ananuka kwapa,huyu vile huyu viatu vimeishaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara ka fulan kabaya kwelii
ni wazo zuri mpenzi lakin watu huwa wanakuja kuchunguzana tu wengine sie maskini kweli mtatuzodoa na minguo yetu iliyofubaa
Na tunavyochamba humu jf heeeeee
Hahaha
 
Walivyokuwa wakitoka kwenye party wanaanza kusemana huyu alikuja ananuka kwapa,huyu vile huyu viatu vimeishaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mara ka fulan kabaya kwelii
ni wazo zuri mpenzi lakin watu huwa wanakuja kuchunguzana tu wengine sie maskini kweli mtatuzodoa na minguo yetu iliyofubaa
Na tunavyochamba humu jf heeeeee
Na baada ya party kuna nyuzi zitakuja na kichwa cha habari "nilichokutana nacho kwenye jf party sina hamu nacho"
 
Back
Top Bottom