Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Huyo mwanasheria wa ccm naona analeta vichekesho, anajaribu kuonyesha mgombea binafsi hata akishinda itakuwa ngumu kufanya kazi na mfumo hasa kupatiwa hela za maendeleo! Anajaribu kuonyesha ni hatari kuchagua kiongozi nje chama kilichoko madarakani eti, kisa atakuwa hachezi mziki wa ilani ya chama kilichoko madarakani.
Sasa najiuliza kama ni ngumu sana pesa za umma kumfikia kiongozi wa upinzani au mgombea binafsi kihalali kwa maendeleo ya wananchi wa eneo husika, zile pesa zinazoripotiwa kupotea kwenye ripoti za CAG inawezekanaje wakati ni ngumu hivyo hata kumpatia kuongozi aliyechaguliwa kihalali kwa shughuli halali?
Sasa najiuliza kama ni ngumu sana pesa za umma kumfikia kiongozi wa upinzani au mgombea binafsi kihalali kwa maendeleo ya wananchi wa eneo husika, zile pesa zinazoripotiwa kupotea kwenye ripoti za CAG inawezekanaje wakati ni ngumu hivyo hata kumpatia kuongozi aliyechaguliwa kihalali kwa shughuli halali?