Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkubwa wewe uko Shy??? Ni napatikana Mwasele misele uswahilini..... Vipi leo NSSF kwa Mzee Yusuph Jahaz Modern. Utakuwepo???
Wana Shy Wing njooni Rock City Wing December kutakuwa na ugeni wa Arusha Wing aka wazee wa Bata aka Mabilionea!!!!!
Poa mrembo.. ntawaleta wajomba toka "BLESSED TOWN" eikeikei "SHYTOWN"
Pm me ya namba yooooh!!!
Poa mrembo.. ntawaleta wajomba toka "BLESSED TOWN" eikeikei "SHYTOWN"
Pm me ya namba yooooh!!!
Karibu Igomelo Kahama nikupe Dhahabu..
Wana Shy Wing njooni Rock City Wing December kutakuwa na ugeni wa Arusha Wing aka wazee wa Bata aka Mabilionea!!!!!
Hii ni kwa wana jamiiforums waliopo Shinyanga tu.. please karibu humu tujuane.. na tuweke mkakati wa kuitangaza JF Shy!!
Sinto pasahau na ninapaogopa shinyanga, tangu palipo tokea mauaji mule maduka mengi (7) night club kwa jamaa kuchomwa na kisu doh...!!
Siku hizi kumetulia karib Zanzibari Café karibia na Jomu primary tunywe supu ya pweza
Fuatilia huu uzi...Location please, maana hiyo dec namimi nitakuwa mwanza
yeeeh tuliho
Uwe unatoa like basi khaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!
uli hale bhabha?
nali yela douhu
Wale wote wanapopajua stand kwa wauza madawa ya kienyeji wani pm,ama wanitafute kwa nambari 0759947397 mara tu watakaposoma hii coment