Duh! sukula kuna tofauti zaidi ya miaka 10 mimi naondoka headmaster alikuwa almarhum majenga ila ntaganyamba na yegela walikuwa walimu wa kawaida namkumbuka marehemu tambalu na marehemu ngusa ndo alikuwa secondmaster.
Pia walikuwepo kama Mrs Nkulu marehemu maduhu pia bundala hicho ndicho kipindi nimepita hapo poa SUKULA pamoja sana.
Mwal Ngudungi,Lupenza,Marehemu Maduhu,Bundala unawapata?? Bila kumusahai Ntaganyamba,Mr Maganya mzee wa Bagondage...!!
Mawazo ujenzi hapo nilimuacha maganya,bundala pamoja na ngudungi ambae nadhani aliitwa lucas checkbob flan hivi.
Hv huyu maduhu ndio yule babu aliekuwa anafundisha kiswahili? Alikuwa mweupe kiasi yaan rangi km ya Yegella. Ndio huyo mnaemsema?
Km ni yy duh....kumbe alishafariki. RIP mwl wetu.
Kiyuga ndo yule mrefu hivi alikuwa anafundisha chemistry?alikuwa mjivuni flan hivi?duh kitambo ila ngudungi alikuwa smart sana nilikuwa na amani nae mpaka naondoka hapo.
Pia walikuwepo kama Mrs Nkulu marehemu maduhu pia bundala hicho ndicho kipindi nimepita hapo poa SUKULA pamoja sana.
daaah.....mpo wengi!!! Kila la kheri!
Hii ni kwa wana jamiiforums waliopo Shinyanga tu.. please karibu humu tujuane.. na tuweke mkakati wa kuitangaza JamiiForums Shinyanga.
Majenga alishafariki pia,nilikutana nae Saut kipindi flani alikua Lecture pale...
Mama Nkulu alikua katibu wa marehemu bishop Balina... sasa hv sijui yuko wapi.....
Ok kumbe ngudungi aliisha tupa chaki!mama Nkulu she was so smart like her late husband mr Nkulu .