Jamiiforums Superstar of the year 2014

Jamiiforums Superstar of the year 2014

Kiukweli JF super star of the year ni Le Mutuz...haiwezi kupita wiki bila kuzungumziwa tena kwenye zaidi ya uzi mmoja...sijui ulikua unawaza nini kwenye hiyo list yako hayupo....

Naona unampigia husband kifua. Hahaa.
 
Nilivyo ona title nilifikiri huko serious kabisa unataka kutafuta Jf super star 2014!
Nilivyo ona umemuweka Wema kwangu Mimi umepunguza thamani ya huu Uzi! Wema ulitakiwa umuweke katika list ya macelebrity wanao hitaji msaada wa kisaikolojia nafikiri ange fit zaidi!

Nafikiri ungeweka vigezo kwanza vya mapendekezo!

Mfano!
Mtu aliye pata Air time kubwa Jf!

Mchango wa muhusika kwa jamii na wana jf wanatambua mchango wake ukiwauliza!

Mtu mwenye shughuli ya kueleweka na jamii inajua huyu mtu ana shughuli Fulani na hata wana jf wanaweza kusema!

Mtu ambaye wana jamii wanaweza wakaiga mfano wake au anaweza kuwa mfano wa kuigwa!

Pia lazima tuanishe huyo mtu anatakiwa kuwa wa Rika gani?

Kwa kulingana na niliyo yasema kwangu Mimi kwenye List wanaweza kukaa wafuatao!

1.Diamond
2.Millard Ayo
3.Lady jayeed
4.Salim Kikeke
5.Alikiba

Salama jabir nashindwa kumuweka kwenye list yangu kwasababu pamoja kuwa mtangazaji mzuri kwangu Mimi hawezi kuwa mfano wa kuigwa(Me)
 
Hahahaaa hamna bwana Le Mutuz ana mbebez wake mkaree anachukua masters ya sheria...Mimi ni Le Super fan u know.....
Hao akina nani sijui tuzo na kiki wanazopata huko zinawatosha bora shemeji Le Mutuz!bora hata wangesema binam aku hiyo list hatuitakiii!!kwanza wana faida gani na siye ao!!hee mie masuperstar wangu humo juu hawamo
 
Hao akina nani sijui tuzo na kiki wanazopata huko zinawatosha bora shemeji Le Mutuz!bora hata wangesema binam aku hiyo list hatuitakiii!!kwanza wana faida gani na siye ao!!hee mie masuperstar wangu humo juu hawamo

Mleta uzi ni kijakazi wa ndomo usishangae mwaya....bora Le Mutuz aichukue...heheheeeeee
 
Mleta uzi kaogopa kumueka Ally Kiba kwa hofu kua ataichukua hii tuzo....hihihiiiiio
 
Nilivyo ona title nilifikiri huko serious kabisa unataka kutafuta Jf super star 2014!
Nilivyo ona umemuweka Wema kwangu Mimi umepunguza thamani ya huu Uzi! Wema ulitakiwa umuweke katika list ya macelebrity wanao hitaji msaada wa kisaikolojia nafikiri ange fit zaidi!

Nafikiri ungeweka vigezo kwanza vya mapendekezo!

Mfano!
Mtu aliye pata Air time kubwa Jf!

Mchango wa muhusika kwa jamii na wana jf wanatambua mchango wake ukiwauliza!

Mtu mwenye shughuli ya kueleweka na jamii inajua huyu mtu ana shughuli Fulani na hata wana jf wanaweza kusema!

Mtu ambaye wana jamii wanaweza wakaiga mfano wake au anaweza kuwa mfano wa kuigwa!

Pia lazima tuanishe huyo mtu anatakiwa kuwa wa Rika gani?

Kwa kulingana na niliyo yasema kwangu Mimi kwenye List wanaweza kukaa wafuatao!

1.Diamond
2.Millard Ayo
3.Lady jayeed
4.Salim Kikeke
5.Alikiba

Salama jabir nashindwa kumuweka kwenye list yangu kwasababu pamoja kuwa mtangazaji mzuri kwangu Mimi hawezi kuwa mfano wa kuigwa(Me)

well said bro
 
Nilivyo ona title nilifikiri huko serious kabisa unataka kutafuta Jf super star 2014!
Nilivyo ona umemuweka Wema kwangu Mimi umepunguza thamani ya huu Uzi! Wema ulitakiwa umuweke katika list ya macelebrity wanao hitaji msaada wa kisaikolojia nafikiri ange fit zaidi!

Nafikiri ungeweka vigezo kwanza vya mapendekezo!

Mfano!
Mtu aliye pata Air time kubwa Jf!

Mchango wa muhusika kwa jamii na wana jf wanatambua mchango wake ukiwauliza!

Mtu mwenye shughuli ya kueleweka na jamii inajua huyu mtu ana shughuli Fulani na hata wana jf wanaweza kusema!

Mtu ambaye wana jamii wanaweza wakaiga mfano wake au anaweza kuwa mfano wa kuigwa!

Pia lazima tuanishe huyo mtu anatakiwa kuwa wa Rika gani?

Kwa kulingana na niliyo yasema kwangu Mimi kwenye List wanaweza kukaa wafuatao!

1.Diamond
2.Millard Ayo
3.Lady jayeed
4.Salim Kikeke
5.Alikiba

Salama jabir nashindwa kumuweka kwenye list yangu kwasababu pamoja kuwa mtangazaji mzuri kwangu Mimi hawezi kuwa mfano wa kuigwa(Me)

Umemsahau le mutuz....u know Uzi wake ukiwekwa lazima upate comments nyingi

Kwenye masuala ya kijamii ndo sisemi kuanzia instagram party hadi kupiga picha na mabebez wakareee

Pia usisahau mchango wake katika masuala muhimu ya kitaifa kama vile kuhakikisha Mrs Tanzania anavua taji....na kutoa matamko muhimu ...
 
Nilivyo ona title nilifikiri huko serious kabisa unataka kutafuta Jf super star 2014!
Nilivyo ona umemuweka Wema kwangu Mimi umepunguza thamani ya huu Uzi! Wema ulitakiwa umuweke katika list ya macelebrity wanao hitaji msaada wa kisaikolojia nafikiri ange fit zaidi!

Nafikiri ungeweka vigezo kwanza vya mapendekezo!

Mfano!
Mtu aliye pata Air time kubwa Jf!

Mchango wa muhusika kwa jamii na wana jf wanatambua mchango wake ukiwauliza!

Mtu mwenye shughuli ya kueleweka na jamii inajua huyu mtu ana shughuli Fulani na hata wana jf wanaweza kusema!

Mtu ambaye wana jamii wanaweza wakaiga mfano wake au anaweza kuwa mfano wa kuigwa!

Pia lazima tuanishe huyo mtu anatakiwa kuwa wa Rika gani?

Kwa kulingana na niliyo yasema kwangu Mimi kwenye List wanaweza kukaa wafuatao!

1.Diamond
2.Millard Ayo
3.Lady jayeed
4.Salim Kikeke
5.Alikiba

Salama jabir nashindwa kumuweka kwenye list yangu kwasababu pamoja kuwa mtangazaji mzuri kwangu Mimi hawezi kuwa mfano wa kuigwa(Me)

Salim Kikeke yule ni wa tuzo za kimataifa, kwa sasa hakuna Mtanzania wa kumuweka category moja na Salim Kikeke amshinde hakuna kitu kama hicho.

Salim Kikeke level zake ni kina Jeff Koinange, Shaka Sali na Umurukheir.
 
Japo Le Mutuz bongenyanya some time yes sometime No ila anafaa kukwaa hilo taji.
 
Ally Kiba haitaji kick kama hizi, ametoa single moja tu nchi nzima inatetemeka wakati wale wa mtaa pili wanatafuta kila story ili kutafuta cheap popurality kama hii thread.

Sikuwa najuwa kama Zari ni kahaba tu anavyotambulika uko kwao Uganda mpaka wale wadandia nyota za wanawake walipo msportlight.

Hahaaahhaa naona ma team nyan povu zishaanza kuwatoka hahhaaa ye2 macho....
 
Umemsahau le mutuz....u know Uzi wake ukiwekwa lazima upate comments nyingi

Kwenye masuala ya kijamii ndo sisemi kuanzia instagram party hadi kupiga picha na mabebez wakareee

Pia usisahau mchango wake katika masuala muhimu ya kitaifa kama vile kuhakikisha Mrs Tanzania anavua taji....na kutoa matamko muhimu ...

- U know I am humbled I mean The King of All Bongo Social Media Network U know I love it!!

Le Big Show
 
Nilivyo ona title nilifikiri huko serious kabisa unataka kutafuta Jf super star 2014!
Nilivyo ona umemuweka Wema kwangu Mimi umepunguza thamani ya huu Uzi! Wema ulitakiwa umuweke katika list ya macelebrity wanao hitaji msaada wa kisaikolojia nafikiri ange fit zaidi!

Nafikiri ungeweka vigezo kwanza vya mapendekezo!

Mfano!
Mtu aliye pata Air time kubwa Jf!

Mchango wa muhusika kwa jamii na wana jf wanatambua mchango wake ukiwauliza!

Mtu mwenye shughuli ya kueleweka na jamii inajua huyu mtu ana shughuli Fulani na hata wana jf wanaweza kusema!

Mtu ambaye wana jamii wanaweza wakaiga mfano wake au anaweza kuwa mfano wa kuigwa!

Pia lazima tuanishe huyo mtu anatakiwa kuwa wa Rika gani?

Kwa kulingana na niliyo yasema kwangu Mimi kwenye List wanaweza kukaa wafuatao!

1.Diamond
2.Millard Ayo
3.Lady jayeed
4.Salim Kikeke
5.Alikiba

Salama jabir nashindwa kumuweka kwenye list yangu kwasababu pamoja kuwa mtangazaji mzuri kwangu Mimi hawezi kuwa mfano wa kuigwa(Me)


Unacheza na maneno mkuu, kwani huyo Diamond au Ally Kiba wataigwa kwa mfano upi labda?
Maana Diamond ni kicheche na Ally Kiba pia the same kuzaa watoto na w/wake tofauti.
 
SuperStar wa JF ni Le Mutuz tuu hakuna mwingine hata ukeshe 24/7 JF na kujiandikia threads na kujijibu mwenyewe,,ha ha ha Le mbululaz! U know!

Le Mutuz ndio habari ya mujin hapa JF kama Maji vile usipoyaogea utayanywa tu!
 
Back
Top Bottom