Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umu umu... C nshakwambia kila nkimuona uyo mkenya kwa avatar nadata kabisaaaPovu lako unalitoleaga wapi wewe?
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji23][emoji16][emoji16] sijui kama linanuka maana binadamu wanatabia mbaya atalishika na kulitumia wala hakushtui ila akikaa na mashoga zake anakutangaza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Angalia usipovukeee hadi hapa na wakati hujasemwa
Umeonaee akimeza akitema shauri yakeeeeMsema kweli ni mpenzi wa Mungu, hata wakitoa povu mradi umefisha ujumbe uliotaka ufike.
[emoji12] [emoji12] [emoji12]Waseme wanaume wa Dar...Utajuta kujiunga JF[emoji23][emoji23]
Uzuri povu litawatoka tu lakini kumteka hawawezi.Umeonaee akimeza akitema shauri yakeeee
Hhuhuhuh... Unakumbuka kamsemo ka sidanganyii*...kanakufaaYupo pm kwangu.[emoji4]
Naenda kusemaThatsit pia naitwa Baby hukoseagi.. ni jina langu pia..sawa!
Naona umetoa povu la kufulia mashuka ya hospital ya wilayaTafuta linalonuka ukanuse [emoji57][emoji57]
Hapo ndiyo tatizo ukiwa humu full kujiaminiUzuri povu litawatoka tu lakini kumteka hawawezi.