Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hujalala unafanya nini?
Mie tayari nishasali, nasubir fajri tu hapa
ucjar mama ntakuamshasijalala mpaka saa hizi halafu kesho natakiwa kuamka saa 2!
Asee mi huwa najuaga huyo ni rijali mwenzetu kabsaaucjar mama ntakuamsha
mkuu umeshndwaje kumtambua chinchilla coat ni shemeji yako kuanzia sasa sawa mkuu japo amenizidi madarasaAsee mi huwa najuaga huyo ni rijali mwenzetu kabsaa
[emoji1] daah kumbe ni ke!
Faida za kuzamia sherehee za watu [emoji123] [emoji2]Namsikilizia wife anakoroma tu hapa pembeni yangu...mie tangu saa tatu usiku tumbo linanipigisha marktime kadhaa za maliwatoni...mpaka dakika hii nshagonga safari za toileti kama 4 hivi
Mbona upo?mwisho saa 11Asbh...