Iceman 3D
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 20,611
- 67,094
hahahaa.Sawa, huwa nakuona unaleta fujo kule kijiweni kwetu camp nou!
- KANA -
aaah yeap
kule nyie ni majirani zangu na watani wangu
msimi ulo pita ilikuwa raha sanaa hahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaa.Sawa, huwa nakuona unaleta fujo kule kijiweni kwetu camp nou!
- KANA -
[emoji85][emoji85][emoji85][emoji38][emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Ney una character kama za Michelle
unanikoshaga kweli kweli
Acha kujichetua hapa, leta mahari niile kabisaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] mtoto tumemtunza huyo, geti Kali hajui migegedo.hahaha
usjali shem
yuko kwenye mikono salama
hahahahaFc Barcelona special thread.
Tukiwa na msiba we unafanya sherehe,
Tukiwa na sherehe unatukumbusha msiba. Ili mradi utunyime raha!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
- KANA -
yesMimi mtasubili sana tu yani ni bado hakieleweki
Salama kabisa, karibu sebuleni mkuuMapopo wa nyt shift nawasalimia
Post sent using JamiiForums mobile app
Ile siku PSG walivotupiga 4 ulifanya fujo sana. Hadi nkataman kupasuka kwa hasira, second leg tukakulaza mapema!hahahaha
pale huwa napa penda sana
ila kuna nyakati huwa mna nifanya natoa povu sana [emoji23]
Ktk hiyo avatar, wewe ndio yupi hapo?Wanawake wengine hawaoni hata aibu kukimbia mtoto wake aliyemzaa kwa uchungu!? Aiseee pongezi kwa huyo mwanaume maana kutunza mtoto si kitu kirahisi!!!
Ningekua ni yeye, hakyamungu huyo mwanamke angejuta kurudisha 'matendego' yake kuja kumuona mtoto!!!!
Ahsante sanaSalama kabisa, karibu sebuleni mkuu
Tupo mkuu!Mapopo wa nyt shift nawasalimia
Post sent using JamiiForums mobile app
Safi sana kakaTupo mkuu!
- KANA -
Kweli kabisa kakaangu umeongea kitu kimenigusa na isitoshe silidi nimemtunzia daah alipe tuu mahariAcha kujichetua hapa, leta mahari niile kabisaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] mtoto tumemtunza huyo, geti Kali hajui migegedo.
Aliniambia atakutafuta usijali kuwa mpole
Mvua imenyeshea godoro, nkaona solution ni kuchukua uraia wa hili chama.Safi sana kaka
Post sent using JamiiForums mobile app
wewe ni a well spoken lady, so classy, yaan kuna time huwa una nidanganya nakupa pass kwa jinsi tu ilivo yapanga maneno[emoji85][emoji85][emoji85][emoji38]
Hii na hisi ni mpaka ishindikane huko ndo ntafiliwa mimi ntasubili tuyes
we shall wait ila itatokea