Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Ha ha ha .. Aisew hili koloni lako nini?Duh na nyie mnaokaa ulaya mbona mna fuju hivi
Kwa hiyo apo ushamtoroka Inna tayar
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ki ukweli shunie na mimu nahisi jamaa ana ka usiriaz flan, vi maneno vyake ni kama vya WCB kwenye nyimbo zao, vimebeba ujumbe
AiseeAcha tu Manga ujue nakuheshimu sana yaan
Kabisa afande tupo tunawakilishaNipo kaka, natimiza majukumu
Post sent using JamiiForums mobile app
Aaa huyu ananipaga makavu sana huyu.Huyu itakuwa anakukubali ukifumba macho.
Mwqmbie ya moyo ukiwa umefumba macho ataelewa[emoji23]
Aaa huyu ananipaga makavu sana huyu.Huyu itakuwa anakukubali ukifumba macho.
Mwqmbie ya moyo ukiwa umefumba macho ataelewa[emoji23]
Ni sawa tu ukiingia mzima mzima ila kanuni muhimu unapopima kina cha maji hutakiwi kuingia na miguu yote.Ahaa kwahiyo kumbe ni sawa mdogo wako nikiingia mzima mzima, because i love him more not more very much no ooh i don't know sielewi nisemeje
Hamna cha zali apo ndugu nsha ambiwa niache tu.Aisee manga zali la mentali hilo au tukutafsirie maana yake?
Wakristo au wakatoliki?Wakristo jiandaeni kusali rozari ya huruma.
Et anaogopa amenishangaza mimi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utakoma shunie itabidi tuu upambane
Mbona mie napambana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa Ney nime mpuuziaje hapo?
nimesema hiyo michakato itafanyika.
ila.mimi tuskae miez halaf unakuja srma ulijua ki jf jf tuu.
utafanya nimtafute mshana jr bure!
Sometime hawa ni staki nataka. Unapimwa. Ukimkaushia na yy kiroho kinamuumaHamna cha zali apo ndugu nsha ambiwa niache tu.
Uchochezi huu haya mimi naacha mkuu karibu tenaJAMANI!
Wakati naaga si nikaona hiyo avatar ya Shunnie!
Usingizi umepaaaa!
She's a bombshell
- KANA -
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Uchochezi huu haya mimi naacha mkuu karibu tena
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyu itakuwa anakukubali ukifumba macho.
Mwqmbie ya moyo ukiwa umefumba macho ataelewa[emoji23]
hahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jamani lini tena?Ney kwa nini umeni block kwenye pm? Au kuna kitu ninekukosea