[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kweli we kichwa kichafuKobe itakuwa nyama nzuri sana maana hata bei yake si ya kitoto[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mii nilipanga nikazuge maeneo yale bila kuingia ila haikua akilini sana nimejisahauanhaa!
mimi nlitaka niende ila kipindi hiki cha Magufuli, future ni wa kumwona kwenye tv tuu
hahaha JJHata mm nimeona mawindo ya uck yanalipa. Nko hapa jiran na bridge. Wewe wapi?
Jesus is my saviour and a friend
AiseeeMii nilipanga nikazuge maeneo yale bila kuingia ila haikua akilini sana nimejisahau
Ila itakua kumetisha mana ile hali niliona ya si kitoto
Acha uchochezi hem hiyo post niliouliza?Mmh ujue jirani kila kitu kuhusu dar anauliza mpaka coco beach jaman kweliiii
afande hata lindo naona unayumba afandekweli afande
ujue Ney ni moyo wangu na mwolo wangu sasa leo part of moyo haipo kabsa hapa.
Basi ni vyema kusikia hivyoHabar hadi sasa ni nzr
Jesus is my saviour and a friend
haaaNyama ya kobe jaman [emoji134]
Jifanye kukana basi nakusingiziaAcha uchochezi hem hiyo post niliouliza?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mie tena au dark angel manga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] kweli we kichwa kichafu
Daaah me nina roho ya pekee sinaga uroho wa hivyo wa kuonja kila nyamahaaa
its tasty
ujue nyama ya kobe hata kama ni wake kobe wa kwenyw maji huwa ni laini halafu inautamu haiwi na chumvi ni kama ladha ya wanyama wengine wazuri wazuri
sku ingine nilikunywa supu ya kobe ilikuwa poa sana nlitoa pesa kadhaa tuu.
sawa siye tunachukuaga kwa dola 20 ila wewe ntakuletea bure kwa kuwa ni jirani yake na Ney afandeDaah afande utakuwa umeokoa jahazi sana.
Nimeomba hiyo post wala sijakataaJifanye kukana basi nakusingizia
hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anko magu legeza kidogo