JamiiForums Usiku wa manane

Ila mlimuongelea jana na jirani me nakutakia kila la kheri manga akukubali mpendane jamaan mana me bado na makando kando yangu jirani upooo
Nikajua tulikua tunaongea nae kumbe hata mwenyewe hakwepo?

Yale maneno ya mfa maji wala yasikuaumbue zaidi ilikua ni ulalamiahi tu kwa unavyo nifanya
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] mbavu zangu utalipa ujue? Duuh sio kwa mistari hiyo Saint

Jesus is my saviour and a friend
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…