JamiiForums Usiku wa manane

Nahisi aisee tena umepata mlinde sana
Aaaa hii ndio roho yangu.
Hadi kina maxence melo wanajua kabisa na ma mods wote.
Atakayemsogelea anakula ban. Si unaona daby alikuwa anjufanya anajiweka karibu ya mtoto wangu anajiita jirani.
Nimemtengeza sasa hivi anaonekana Jf kwa manati sana.
Yani huyu JF nzima wanajua hakuna wa kumsogelea. Ukisogea tu kwisha. Hii ni mali yangu. Manake mtoto JF nzima hakuna.
 
Usiharibu sasa vile kakupenda akichoka atatugaia na sie ujue
 
Apo nimetengeneza vipi ningemwambia asihangaike na wewe si uta achwa
Usimwambie aisee.
Hii ndio roho yangu. Mengine ni maigizo tu ya kufurahisha jukwaa. Ila huyu ni kwenye real life sio hapa Jukwaani tu. Tupo nje ya box ujue
Ngoja ni CC kama smart na mahonda

Cc@inna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…