Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Apo najua nkiingia sitoki hivhivAje ndani hafu utoke umfungie kwa njee ha ha haa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Apo najua nkiingia sitoki hivhivAje ndani hafu utoke umfungie kwa njee ha ha haa
Ha ha ah . Maji yatakuwa yamezidi ungaHa ha haaa kesha lala nazani cm ipo tumboni
Kaniona huyu kaamua kulala mbeleeHa ha ah . Maji yatakuwa yamezidi unga
Aaaa hii ndio roho yangu.Nahisi aisee tena umepata mlinde sana
Apo nimetengeneza vipi ningemwambia asihangaike na wewe si uta achwaAisee manga kweli ndugu yangu unanipigilia misumari ya moto wazi wazi hivi?
Huu mwanya aisee Manga. Dah. Bahati yake leo ama mwenye nyumba yupo anakaba hadi penalt.
Usiharibu sasa vile kakupenda akichoka atatugaia na sie ujueAaaa hii ndio roho yangu.
Hadi kina maxence melo wanajua kabisa na ma mods wote.
Atakayemsogelea anakula ban. Si unaona daby alikuwa anjufanya anajiweka karibu ya mtoto wangu anajiita jirani.
Nimemtengeza sasa hivi anaonekana Jf kwa manati sana.
Yani huyu JF nzima wanajua hakuna wa kumsogelea. Ukisogea tu kwisha. Hii ni mali yangu. Manake mtoto JF nzima hakuna.
Usimwambie aisee.Apo nimetengeneza vipi ningemwambia asihangaike na wewe si uta achwa
Utapotea si muda weweMpaka kokoriko
Ila kweli manake kanivumilia vya kutosha.Usiharibu sasa vile kakupenda akichoka atatugaia na sie ujue
[emoji28] salaaam aleykumHuu mwanya aisee Manga. Dah. Bahati yake leo ama mwenye nyumba yupo anakaba hadi penalt.
Nko na ant UsingiziUtapotea si muda wewe
Hao ndio analala na simu kaishikilia mkonono.Utapotea si muda wewe
Aisee keshalala nazani zali lako apoHuu mwanya aisee Manga. Dah. Bahati yake leo ama mwenye nyumba yupo anakaba hadi penalt.
Muhenga karibu