JamiiForums Usiku wa manane

Ha ha ha .
Jana nilila sana bibie
Nikiku flirt watu wata enjoy.
Nitawaflirt wote hapa jukwaani except U
Cc you
Kuna mtu juzi hapa jukwaani aliandika alidhani ku flirt ni kujichua/kupiga puli.
 
Dah! Sasa huko kuzimu unatumia network gani? Utapata wa kuoa kweli huko mkuu?
Mkuu huku kuzimu nimeshushwa na mheshimiwa, awamu iliyopita nilikua ninaishi kama malaika

sent from kuzimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…