JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Tofauti ipo mkuu, ila ukicombine vyote ni hali tete zaidi bora uwe na msongo wa mawazo na upo na mtu pembeni unaweza kumwelezea kinachokusibu akukupa ushahuri tofauti ukiwa peke yako hapo utajaribu kutafuta majawabu ya mawazo yako ukaishia kuongeza mawazo

sent from kuzimu
Ni kweli mkuu hio ni hatari zaidi.Afu nimeona hio signature ya sent from.... hatari sana hio
 
Upweke unaweza kupelekea msongo wa mawazo, kwa mtazamo wangu afadhali ya upweke kuliko msongo wa mawazo. Ukitafakari sana, yote ni mambo ya kufikirika tu! Upweke unakuaje? Mbona wengine wanapenda upweke na ndio maisha wanayoyafurahia?

Msongo wa mawazo hali kadhalika, jambo unaloliona mzigo au kikwazo kiasi cha kukukatisha tamaa kwa mwingine hata halimsumbui kabisaaa.
Inategemea unalichukuliaje na una weza kukabiliana nalo kwa mikakati ipi. Wengi tunachachawa kama sio kupagawa sana tunapofikwa na mambo.

Kuongea kunasaidia sana, unawezasema jambo au tatizo linalokusibu ukashangaa unapata ushauri au msaada ambao hsukuufikiria na umeshaumia sana na tatizo.
Daah umeielezea vzr sana maana naona watu wengi inawapa shida wao wenyewe kuelewa hali gani inawasumbua kati ya hali hizo 2.
 
Nani yuko macho walau tupige stori mbili tatu

Jamii Forums mobile app
 
2d70855f7d7671cb896dce640bffe7c9.jpg
 
Back
Top Bottom