The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,242
- 45,930
Upweke ni ugonjwa mbaya sana
sent from kuzimu
Kuna tofauti ya upweke na kukosa usingizi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upweke ni ugonjwa mbaya sana
sent from kuzimu
Hahah uko fasta kwenye fursa mpk za usiku wa manane.Kukesha online ama?
Penseli watumia ambao hawajui.Aisee na penseli au
Hahah inawezekana niko kazini sa hivi i.e lindoni hapa bank mkuuKaribu ila kama kesho unaenda kazn usituige majobless kama mm apa
Hahah uko fasta kwenye fursa mpk za usiku wa manane.
Karibu ila kama kesho unaenda kazn usituige majobless kama mm apa
[emoji87] [emoji87] [emoji87] sawa mlinzi wa zamu...kumbe tunakupa kampni eeHahah inawezekana niko kazini sa hivi i.e lindoni hapa bank mkuu
Hivi kuna tofauti sana kati ya upweke na msongo wa mawazo au lipi lina afadhali kiasi?Upweke ni ugonjwa mbaya sana
sent from kuzimu
Hahah aisee kwema chief,hopefully all is well kwako.Hizi fursa basi? Tunasogeza kuisubiria asubuhi tu. Kwema lakini?
Tena for free kabisaa,cha msingi nahikisha nna ile dawa ya mbu ya kupaka tu hapo ni full kukesha tu[emoji87] [emoji87] [emoji87] sawa mlinzi wa zamu...kumbe tunakupa kampni ee
Ni kweli kabisa ila mkuu ukikosa usingizi plus upweke ni hatari kabisa kama hapa naona chumba kimeongezeka ukubwaKuna tofauti ya upweke na kukosa usingizi...
KumbeeeKuwa macho saa hizi napo ni kazi tosha. Usijiite jobless.
Aisee kama ni upweke basi ni mwendo wa kutafuta company ya jinsia ya upande mwingine tu.Ni kweli kabisa ila mkuu ukikosa usingizi plus upweke ni hatari kabisa kama hapa naona chumba kimeongezeka ukubwa
sent from kuzimu
Hivi kuna tofauti sana kati ya upweke na msongo wa mawazo au lipi lina afadhali kiasi?
Tofauti ipo mkuu, ila ukicombine vyote ni hali tete zaidi bora uwe na msongo wa mawazo na upo na mtu pembeni unaweza kumwelezea kinachokusibu akukupa ushahuri tofauti ukiwa peke yako hapo utajaribu kutafuta majawabu ya mawazo yako ukaishia kuongeza mawazoHivi kuna tofauti sana kati ya upweke na msongo wa mawazo au lipi lina afadhali kiasi?
Ni kweli mkuu hapa ndo natamani mipango ikae vizuri nioe tuAisee kama ni upweke basi ni mwendo wa kutafuta company ya jinsia ya upande mwingine tu.
Ni kweli kabisa ila mkuu ukikosa usingizi plus upweke ni hatari kabisa kama hapa naona chumba kimeongezeka ukubwa
sent from kuzimu
Ni kweli mkuu hapa ndo natamani mipango ikae vizuri nioe tu
sent from kuzimu