Kunywa pirtoni 10nipeni mbinu za kupata usingizi jamani
Tupo mamito mambo?Mmelala jamani mbona Kimya sana
Simple...usiwe mwana chichiemnipeni mbinu za kupata usingizi jamani
Kwani kuombewa lazima uwe na matatizo?Utatumbuliwa wewe.nchi haina matatizo hii.[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
AmkaIkifika SAA 8.usiku naombeni mniamshe jaman
Nisubiri nkusindikizeNapita zangu
Pole sana naenda kumkumbuka katika maombi.Kwa kupigwa kwake tumepona.Naomba Maombi Yenu Timu Jf At Night! Nauguza Wife