Aaah wap sikumpata, alikuwa kazima cmUlimpata?
Pole sanaUsingizi umekata toka saa tisa mpk mida hii nimejaribu kulala nimeshindwa nasoma soma post tu huku JF kukuche niwahi kibaruani.
Thanks mkuu ni tabu kwa kweli hii hali imekuwa ikinitokea sana, mara baada ya kurudi toka masomoni China sasa sijui ndiyo adoption yenyewe au vp, maana China iko mbele kwa masaa matano ukilinganisha na bongo.Pole sana
Mara nyingi inakuwa ivyo kwa wanafunz wanapomaliza masomo yao au wakat wa likizo. Ila itaisha baada ya muda mfupi. Me kwangu imekuwa kama jambo la kawaida. Sipendi ila najikuta nimeshtuka na kulala hapo ndy bhas tena. Hope inamwisho hii haliThanks mkuu ni tabu kwa kweli hii hali imekuwa ikinitokea sana, mara baada ya kurudi toka masomoni China sasa sijui ndiyo adoption yenyewe au vp, maana China iko mbele kwa masaa matano ukilinganisha na bongo.
Ndo maana huwa anaibiwa kirahisi na akina Msolo![emoji23] [emoji23] [emoji23]........Kwa kweli ngoma ya watoto haiwezi kukesha aisee!![emoji28][emoji28][emoji28]Usingiz haujawahi kumwacha mtu salama alafu apa atakuja sa 12 kujitia ndo anajibu
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Kauli tata hiyo my jje's
Mtoto mdoli
Mtoto ulikuwa kwenye uumbaji au
Mtoto ulikuwa unambadilisha pampers
Afu wewe jamaa maneno gani ya kugombanisha unayaongea haya?Ndo maana huwa anaibiwa kirahisi na akina Msolo![emoji23] [emoji23] [emoji23]........Kwa kweli ngoma ya watoto haiwezi kukesha aisee!![emoji28][emoji28][emoji28]
Jje's mambo.[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Jesus is my saviour and a friend
My loveAtalalaje wakt hajaniaga
saint ivuga[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350]
Sa mbili hii ndio naamka bebiUsingiz haujawahi kumwacha mtu salama alafu apa atakuja sa 12 kujitia ndo anajibu
Ndo unaamka saa hizi!![emoji23] [emoji23] [emoji23]........Msolo tayari ameshafanya yake usiku wa manane,wewe ndo unaamka Msolo ameshamaliza kazi ndo anaenda kulala!![emoji23]Afu wewe jamaa maneno gani ya kugombanisha unayaongea haya?
Mimi na Inna sasa hivi ni kama mahondaw na smart.
Hatuambiliki hatusikii la mtu
cc inna