Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
wewe jamaa hivi unajua kuwa mshana ni ncugu yangu, naweza kuongea naye akakufanyia manuva sasa hivi?Ndo unaamka saa hizi!![emoji23] [emoji23] [emoji23]........Msolo tayari ameshafanya yake usiku wa manane,wewe ndo unaamka Msolo ameshamaliza kazi ndo anaenda kulala!![emoji23]
[emoji125] [emoji125] [emoji125]wewe jamaa hivi unajua kuwa mshana ni ncugu yangu, naweza kuongea naye akakufanyia manuva sasa hivi?
Nimefurah sana mtakatifuJje's mambo.
Anza siku yako na Bwana.
Nikutakia siku njema yenye baraka na tabasamu tele.
Umejuaje? Tuna malindo tofauti na mishahara tofauti
sawa...nimependa avatar yako kwelikweliUmejuaje? Tuna malindo tofauti na mishahara tofauti
Jesus is my saviour and a friend
Dunia ni duara mkuu amini hivyo.Nyie watu mnazingua sasa,usiku wa manane bado
Sent from my Huawei mate 9
Asante sana
Kwahiyo huko uliko muda huu ni usiku wa manane sioDunia ni duara mkuu amini hivyo.
Hehe leo upooo?jje's,saint ivuga, ferrenga,daby, mshana, inna, billy. Naitisha roll calls.
mkuu unaendelea bado na hiyo kazi?Mi nipo job night shift