JamiiForums Usiku wa manane

NAENDELEA KULIOMBEA TAIFA LANGU NA WATANZANIA WOTE MAULANA MOLA WETU RHABUKA ATUJALIE AFYA NJEMA, UTAJIRI, UPENDO , AMANI, FURAHA, HEKIMA NA BUSARA MILELE YOTE SISI NA VIZAZI VYETU KATIKA JINA LA YAHUSHUA HA MASHAIC. ...AMEN RA
 
Nipo nimehisi kiu nikaenda kuangalia kwenye friji nikakuta hakuna maji nikatoka nje kuna duka jirani huwa anakesha, ile nafungua gate nakutana na rafiki yangu anapita na sikutegemea kumwona maeneo haya mida kama hii.

Halafu ulimsalimia Au ulimchunia? Maana nilikuwa nimelala kelele za gate lako limenistua
Halafu stori yenyewe humalizi.sijui Ndio maana yake nini?
 
NAMSHUKURU MWENYE ENZI MUNGU KWA UHAI HUU ALIYO TUPA MIMI NA FAMILIA YANGU. ...AZIDI KUILINDA NCHI YANGU TANZANIA MILELE YOTE. ..ATUSAMEHE DHAMBI ZETU PALE TUNAPO MKOSEA. ...AZIDI KUTUPA HEKIMA NA BARAKA ZOTE KATIKA JINA LA YAHUSHUA HA MASHAIC. ...AMEN RA
 
Tuamke jamani! Kuanzia kesho tuanze kutoa mwaliko kwa wenzetu kule majukwaa mengine,Maana sikukuu zijazo zitakuwa ndani ya huu uzi!
 
[emoji6][emoji6][emoji6][emoji6][emoji51][emoji51][emoji51]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…