Nimetoka. Niliingia ya sa nneUshatoka chachi my love[emoji8]
Huyu hataki watu waje kwenye huu uzi mchana..?
nakuona @behaviorist unatengenezwa.
Hahahahaa behaviourist hater wakonakuona @behaviorist unatengenezwa.
Wewe si upo dsm?
Huyu jamaa ni zeroo kabisa.Hahahahaa behaviourist hater wako
Na hatimae mzunguko unakaribia kukamilikaKweli dunia inazunguruka!
Mtakatifu Ivuga. Binadamu upendo. Mwanamke usiomunee wivu kiasi hicho.Mbona lakini unafanya mambo ya makusudiii?
Hii ndio roho yangu.Mtakatifu Ivuga. Binadamu upendo. Mwanamke usiomunee wivu kiasi hicho.
Tunda linavunwa likisha iva. Utakulaje embe bichi?Hii ndio roho yangu.
Mbona JF ina wanawake kibao single?
Huyu alikuwa hapa miaka kibao mbona hamna aliyemuona?
Nimempendezesha ndio mnajifanya mnaleta undugu?
Huyu analindwa na power
Salama comrade za jumapiliHabari za mihangaiko humu wakuu
Shwari tu mkuu naona mambo yanaenda.Salama comrade za jumapili
Kumekucha wenzioShwari tu mkuu naona mambo yanaenda.
Saint Ivuga upo...Nimekuja hapa kabla ya yote nataka niwaweke mikononi mwa Mungu.
Baada ya hapo. Mnaweza kuendelea ku chit chat.