Me pia mpenzi ice man yuko ap jamanMiss you too shunie, yaan mefurahi kukuona mpz
Kesho nitazitafuta nalala chini ya masaa mawili na mwili umechoka basi tu.Zipo mamy mwenyewe nimezinywa sana kuna kipindi nilikua silali kabisa
Pole unatatizo gani?Daaah hivi valium bado zinauzwa pharmacy?
Zinasaidia sana zitafute tuKesho nitazitafuta nalala chini ya masaa mawili na mwili umechoka basi tu.
Iceman alishastaafu jamii forum sasahivi anakula pension [emoji6]Me pia mpenzi ice man yuko ap jaman
Hapati usingiziPole unatatizo gani?
Jamaan kwa nini aliamua kuchukua maamuzi magumu hivi na kwa nini hajaniaga jirani yake lakiniIceman alishastaafu jamii forum sasahivi anakula pension [emoji6]
Sijui mwenzangu labda alimuaga jamaa yake MangaJamaan kwa nini aliamua kuchukua maamuzi magumu hivi na kwa nini hajaniaga jirani yake lakini
Usingizi hamna kabisaPole unatatizo gani?
Ahahha ngoja Manga akija atuambie mpaka we hajakuagaSijui mwenzangu labda alimuaga jamaa yake Manga
Hahahaha kwa raha zenuHizi zinaangaliwa usiku tu ndugu mchana kibaba Jesca zaidi
IRON LADY!!!!
Babe wa king mswati ivuga[emoji102] [emoji102]
Tupo[emoji113]Mumelala
Hakuna tatizo ambalo halina chanzo. Valium pengine zaweza kukusaidia siku za mwanzo ila zikikuzoea utarudi palepale. Ni vyema kutafuta chanzo cha tatizoUsingizi hamna kabisa
Pole sana mydear, ila hizo dawa sio nzuri ukizizoea huwezi kulala mpaka uzinywe hata wataalam wenyewe wanasema, mi naona ungejitahid tuu utatue tatizo ili uweze kulalaUsingizi hamna kabisa
Yaan akanikimbia jamani ni shidaah sana aiseehAhahha ngoja Manga akija atuambie mpaka we hajakuaga
Mmmmh tatizo langu mtu akiniuzi muda mfupi kabla ya kulala huwa nakosa usingizi kabisa,Hakuna tatizo ambalo halina chanzo. Valium pengine zaweza kukusaidia siku za mwanzo ila zikikuzoea utarudi palepale. Ni vyema kutafuta chanzo cha tatizo
Alikwambia nini manga nae jamanYaan akaniambia jamani ni shidaah sana aiseeh