chichimizi
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 1,074
- 339
Acha kutisha watu kama una usingizi pambana na hall yako mkuu.(Humu si kila mtu ni mwanadamu mengine ni majini usiku ndio yanakuwa active.Jini likicomment kwenye Ujumbe wako linasafiri na ujumbe wake kama data kufuata Ujumbe wako ulipoanzia kuandikwa.Kwakuwa umeandika kutoka kwenye simu au computer huo ndio unakuwa mlango wake wa kutokea na kujumuika na wewe hapo kitandani unapolala
Unaamka sahz afu unasema no popo we waap?JfmF siku hizi no popos
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125].........haki sijawahi kucheka kama leo!Unaamka sahz afu unasema no popo we waap?
Helooo peoplez
Jesus is my saviour and a friend
sawa sawa mkuu[emoji121]Siyo peoplez bali ni popoz!![emoji30]
Weeee tulia bas hii mida ni ya kuku kulala sio sisTayari kwa kukesha.