JamiiForums Usiku wa manane

uongo na umbea :

Delta Force

 
Mmmh tumeachana baada ya kugundua amempa dada wa watu kibend so sahv ni kaka angu tu
Acha zako amepungua wapi mpaka umuache kama kibendi hata wewe atakupa tu hofu yako nini?
 
ndio mkuu! si unajua tena fursa hizo lazima tushirikishane, nasi tupate kaona kauwezo chako cha kuyamwaga,pengine tutaambulia kitu mkuu
Usijali hapa sio mahala pake mkuu tukutane jukwaa la wakubwa au kwa mitisa....
Though sijamuona mda mrefu sijui wamem Ben saa8
 
Atatuhudumiaje wote sasa? Lazima upande mmoja utamwelemea
Hata mue kumi kidume mmoja manapewa vibendi na hakuna kuelemewa kachukue chako uvae madela sisi tuendelee kuchomekea [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hata mue kumi kidume mmoja manapewa vibendi na hakuna kuelemewa kachukue chako uvae madela sisi tuendelee kuchomekea [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] we hufai ww
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…